Haya sasa hawa ndo ACACIA!

C
kila mtu akajichukulie Noah yake
Tuliaminishwa kuwa chenji ya rada itanunua vitabu vya shule,kujenga nyumba za walimu na kutengeneza madawati katika shule za sekondary zote,chenje imechukuliwa hakuna cha vitabu,nyumba za walimu wala mama yake na madawati,sijui hiyo chenji ya rada itakuwa imenunua madawati na vitabu na nyumba za kuishi walimu wanaofundisha ndani ya matumbo ya magamba
 
Kwani sisi tunataka kujua thamani y utajiri wao..?? Kama madini walotuibia miaka yote yameshindwa kuwatajirisha hiyo ni juu yao. Ikithibitika wametuibia watulipe, watajua wao watatoa wapi pesa sio kazi yetu hiyo....!! Na usidanganyike na figure za mtandaoni,, They are worthy more than that but why should they let you know...??
Unasema ikithibitika je isipothibitika nini kitafuata? Maana yake ni kwamba kama hatutalipwa chochote au tukalipwa tofauti na tulivyotegemea au tukawalipa kwa kuwasababishia hasara hao wawekezaji.
 
Madini yetu wenyewe, wakileta za kuleta basi tunajimilikisha, tutawalipa fidia mdogo mdogo....
Kwa nini tunakuwa waoga kiasi hicho?
 
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg
Acha uchochezi,tushaambiwa hao ni wanaume
 
Wanabodi kuna hiyo kitu hapo. Je, tutachomoka wakituletea hao wataalamu kwenye mazungumzo?
95b74b177c2be5a1b1edae75c7117160.jpg

Migodi iko hapa, mchanga uko hapa na mitambo iko hapa na yote inalindwa na askari wetu. Wasiwasi wa nini? Tena kuna makosa ya jinai ya kutosajili kampuni, ukwepaji kodi na kudanganya idadi ya makontena.
 
[HASHTAG]#millard[/HASHTAG] EVERYONE who goes to ANY meeting goes or should go with their best people. Hiyo strstegy mie siijui lakini it is fair nobody goes to negotistion with the intetion of losing. What's your point exactly?
 
Nitawaona mna point kidogo mngejikita kutoa point za tunashindaje kwa tuliokwisha yaanza..!! Na sio kusambaza woga huo.. Alafu ulipokosea umem refer Millardayo ambaye kaishia la nne...!!
Unashinda vipi angali hao tunaoshindana nao TUMEWAOMBA wajenge smelter hapa nchini. Wtf
 
Ningekua raisi wa nchi ningeanza na hawa watu ndo niwageukie ACACIA...!! Wanaboa sana wazamiaji nchini kwetu...!!
Acheni kulishana Upepo. Maprofesa hewa wanaropoka tu trillion 108. Na nyie mnaunga Tela
 
Acheni kulishana Upepo. Maprofesa hewa wanaropoka tu trillion 108. Na minyumbu mnaunga Tela


Hhahah,,, Ko unataka tushike la nani sasa...??? Kwa sababu usomi wa hali ya juu duniani ni Uprofessa..!! Tukufuate wew ulieishia la saba ,, ?? Tutakuamini vipi Mkuu..?? Bora tu tuwafuate maprofeseri wanaoropoka kuliko la saba na bado mropokaji..!!
 
WA TZ bhn nchi ya kwenu, Mali za kwenu, Acacia wako kwenu, Wameiba mali yenu, Nashangaa sana mnavyosambaza woga kwa wananchi., Ili iweje..?? Kama mtu kaamua na kasema anaweza mpeni walau support bhas....

Sipati picha km TZ leo hii ikiingia vitani sidhani kama kutakua na wazalendo wa kufia nchi hii....!?? Yaan hatuna umoja hata kidogo..!! Muda mwingine hua naona bora chama kimoja tu kingebaki, Upinzani walifanya vizuri lkn kwa hii sumu walowapa wananchi nawalaumu sana..!!
Chama kipi kibaki
 
Lete CVs zao tuwajue. Mlianza kutabiri Acacia kukimbilia mahakamani, mkashindwa. Sasa mmehamia kwenye psychological warfare, Nakuhakikishia mamluki ninyi mtashindwa pia.

Soma na haya maneno ya mwenzenu hapo kwenye blue hivi wakala ni yule anayesema kutetea uhalisia wa tukio au yule aliyeweka saini kwenye sheria na mikataba ili hao wezi waibe? Duhh!! nalaani sana kuzaliwa Tanzania

WAZIRI NCHEMBA ATOA SIRI SABABU YA MKAPA NA KIKWETE KUHUSISHWA SAKATA LA MAKINIKIA

KITAIFA

BY RABI HUME

JUNE 18, 2017

Ikiwa zimepita siku chache tangu Rais Magufuli kuzuia watu kuwahusisha Marais wawili wastaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete na Benjamin Mkapa katika sakata la mchanga wa dhahabu (makinikia) kwani katika ripoti zote mbili hakuna sehemu ambayo imewataja wastaafu kuhusika.

Waziri wa Mambo ya ndani na Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba amesema wezi hao walitafuta kichaka cha kutaja viongozi waliostaafu ili kuzia serikali iache kufatilia sakata hilo.

“Viongozi wetu hawajawai kuwa mawakala wa wale wanao tuibia, mawakala tumewabaini ni wale wanao watetea wezi,” alisema Waziri Nchemba.


Waziri Mwigulu ameongeza kusema sifa ambayo inafanya viongozi walioko madarakani wasing’ang’anie madaraka ni viongozi wastaafu kuheshimiwa baada ya muda wa uongozi.

Waziri Mwigulu ameyaongea hayo akiwa katika kijiji cha Zinzirigi katika Tarafa ya Ndago katika mwendelezo wa ziara jimbo kwake Iramba Magharibi kuongea na wananchi kuwaeleza alipofikia kuhusu ahadi ambazo walikubaliana kutekeleza hasa suala la umeme kutokufika katika vijiji vingi akieleza kuwa sababu ni mkandarasi aliyekuwepo mkoa wa Singida aliyetolewa baada ya kushindwa kazi lakini sasa ameambiwa na watu wa wizara ya nishati kuwa wakandarasi wawili wameshapatikana hivyo kuanzia sasa zoezi la kuunganisha umeme vijijini utaendelea kwa kasi hasa wa REA awamu ya Tatu.

Kuhusu ujenzi wa zahanati amesema mpaka sasa zahanati katika vijiji vingi alipopita zimefika hatua nzuri ya kupaua na kuwahidi kuwa pelekea mabati na mbao na mifuko ya saruji 100 ili zahanati hizo zikamilike na kuanza kutoa huduma mapema sana.
 
Back
Top Bottom