Haya sasa hawa ndo ACACIA!

Haya sasa hawa ndo ACACIA!

magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
 
magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
Let's wait
 
Mliikuwa wapi enyi manyang'au wakti wapiinzani wakitaka mlete mikataba Bungeni ijadiliiwe?Mlizuia na kudai ati ni SIRI,leo mmegeuka kama kinyonga!Shame on you.
wewe acha ulofa hapa kila mtu anatoa mawazo yake sijakulazimisha ukubali mawazo yangu kama huna point za msingi kaa pembeni F**CK!
 
Kwani sisi hatuwezi kuzungumza? Wapo wakina profesa mruma na mwenzake ossoro waende wakajitetee kama waliandika uongo haituhusu.tunachotaka trilioni 108 kila mtu akajichukulie Noah yake
Tena mimi nataka Noah new model hizi nasikia zinatumia mafuta kidogo sana.
Sitaki kuambiwa mambo ya story tena ninachotaka hizo Noah zije nipewe
Akina Prof. Osoro wameriamsha dude
 
upload_2017-6-20_14-53-34.jpeg


  1. Prepare, prepare, prepare. Enter a negotiation without proper preparation and you've already lost. ...
  2. Pay attention to timing. ...
  3. Leave behind your ego. ...
  4. Ramp up your listening skills. ...
  5. If you don't ask, you don't get. ...
  6. Anticipate compromise. ...
  7. Offer and expect commitment. ...
  8. Don't absorb their problems.
  9. Stick to your principles.....
  10. Close with confirmation....
 
ACHA UOGA WW MTOTO WA KIUME

Hata sisi tunao akina Tundu Lissu, Zitto, Bashe na wengine wengi ambao ni vichwa tu
Mkuu ina maana hawa nao wanaweza kuwa miongoni mwa watz watakaokaa meza moja na hao wazungu!!
 
Jokes hazina maana ktk hili swala we have to think how to conquer the deal....

Tunatishana mambo ya ajabu ajabu instead ya kupeana PRE CAUTIONS

AU ndo kurogwa huku
Mbona mlipitisha sheria zile wenyewe bila MSAADA wetu, tena kwa hati ya dharura . . ?!
Endeleeni kutubeza, mtashinda hata wakati huu . . , kamateni Wabunge wetu, wafungeni jela bila kesi . . , nyie naWakuu wenu wa Wilaya na Mikoa ndio wazalendo wa kweli . .
 
Uwoga wenu, umaskini wenu BINAFSI NINAWAHESHIMU WAbongo kwa kuwaogopa wazungu duh...lakini ninachojua ni kwamba tuna wasomi wenye weledi Tz juu ya madini subili uone!
Kweli akili yako kilo 1. . ,

Unaposema "uoga wenu . . " , kwani wewe ni mganda . . ?!

Wewe ni kaka yake Kibajaji . . ?
 
Wale wanaojiita wazalendo wakina Msukuma,Bajaji, nk wasikosekane kwenye mazungumzo nahao watu weupe
Hapo ndio ninapotamani iwe live kupitia Television
 
Kwani sisi hatuwezi kuzungumza? Wapo wakina profesa mruma na mwenzake ossoro waende wakajitetee kama waliandika uongo haituhusu.tunachotaka trilioni 108 kila mtu akajichukulie Noah yake

Sisi wenye mali tujengewe hofu ya kuongea! Upumbavu wa kiwango cha mvua ya mawe!!
 
Nitawaona mna point kidogo mngejikita kutoa point za tunashindaje kwa tuliokwisha yaanza..!! Na sio kusambaza woga huo.. Alafu ulipokosea umem refer Millardayo ambaye kaishia la nne...!!
Hizi ni roho za chuki binafsi kusema millard ameishia la nne,haya ww mwenye degree una nin?
 
Back
Top Bottom