trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Vita ya makinikia haitamwacha mtu salama
Success is not about prayers bro. Ni juhudi ndizo huleta mafanikio. Mpaka leo bado ni watumwa wa kufikiri?Wapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.
Sasa. Umeongea point sanahao wataalamu watapambana na wataalamu wetu....hela za makanikia zinahitajika kwaajili wa Watanzania
Sio kwenda kichwakichwa tujiandae.Wapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.
Huwajui wazungu wewe.mtabaki na mahandaki na hawalipi hata mia..Lete CVs zao tuwajue. Mlianza kutabiri Acacia kukimbilia mahakamani, mkashindwa. Sasa mmehamia kwenye psychological warfare, Nakuhakikishia mamluki ninyi mtashindwa pia.
Wapumbavu ni wale wasiotaka kuusikia ukweli
Ndio hizo fedha zikija kila mtanzania atanunuliwa Noah. na chenji inabakiKwani mkulu kasema tutapata Noah?
kwa elimu ipi na uzoefu upi mlionao kwenye masuala ya madini....... hamchomoki hapoWapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.
Nia ya thread ni kututahadharisha si kutuombea kuanguka. Kocha wa timu ya mpira anapotafuta mkanda wa mchezo wa timu pinzani nia yake ni kujenga kikosi chake.Wapumbavu pekee ndiyo wanaoliombea taifa hili lisifanikiwe.
Hahahaaa. Yaani world cup tupeleke timu ya lipuli au stand united? Haloo wanipa raha!Na sisi tutampeleka kibajaj na Lemutuz
Sikutaja mtu lakini nilijua tu wapumbavu kama nyie mtanasa na kujitokeza msiolitakia mema taifa letu, kama siyo mtanzania tuache nchi yetu wenyewe wewe rudi kwenu.Wewe mwenyewe mpumbavu maana unashabikia mambo yasiyowezekana. Mnaambiwa mtakipwa hela mnakubali tu kama minyumbu..rais mwenyewe haekewi kiingereza anakurupuka tu eti wanalipa wakati wenyewe wanasema hawajasema wanalipa wanataka negotiations..mxxxxx
Sikutaja mtu lakini nilijua tu wapumbavu kama nyie mtanasa na kujitokeza msiolitakia mema taifa letu, kama siyo mtanzania tuache nchi yetu wenyewe wewe rudi kwenu.
Kweli,kina Lipumba si wapo?na sisi tuweke wajuvi wa mambo na wabobezi pia. baada ya kujua mbinu zao na sisi tuzitumie pia