Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

kwanza, roho ya kulalamika, inaonekana hata ungekuwa na phd ungelalamika, tosheka na hapo,jitie nguvu ridhika na katafute kazi, acha uvivu, acha dhambi.
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Nikununulie kamba uwahi kufa? Nani kakwambia ni dhambi?
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Kwani umechelewa kuanza kulima?!
 
Usikate tamaa ndugu,bado una nafasi ya kufanya mageuzi. 24 ni kijana mdogo sana,hata ungekua na miaka 60 hilo bado haliahalishi kujiua.

Usione watu wanatembea road tu,kila mtu ana matatizo yake. Nitakupa mfano mimi binafsi nimepitia magumu ambayo kwa mtu mwenye roho nyepesi angefikiri kujiua kama wewe. Ila mimi ukataji wangu wa tamaa ulikua ni kinyume na wewe,mimi nilikata UNYONGE,sikukata tamaa.
Sikukubali kukaa chini na kulia lia,nikaamua kujichanganya kila chaka kusaka noti. Hata hapa JF nimekuja mara kadhaa kuomba kazi,ila bado sikupata mwanga. SIKUKATA TAMAA,nikaamua kuzama chaka nako bado sikuambulia kitu,ila katika kujitafuta nilikutana na mwana nikawa nampa mapito yangu kwa kifupi tu. Basi akasema wacha nikuconnect na mwana ili uwe unapata hata hela ya kula,ila matokeo yake kwa sasa mimi ndie namsaidia huyo mwana aliesema nipate japo hela ya kula.

So kwa kifupi kwa sasa napata mabunda Mzee,sio kinyonge. Point yangu ni kwamba,usichoke kujitafuta,usikae chini na kulia, au kujikatia tamaa. Mwanaume anapaswa kupambana mpaka tone la mwisho la jasho na damu yake.
Kama uko home hama,nenda huko mbali,poteaaa! Hata kwa miaka kadhaa,weka nia urudi umefanikiwa au urudi mwili wako.

Hustle hard!! Maisha sio rahisi,maisha ya mpambanaji yanahitaji kujitoa haswa,hayo mawazo ya kukata tamaa ukiyahamishia katika utafutaji utapiga hela sana.[emoji109][emoji109]
UNYAMA SANAAA
 
Miaka 24 unalialia tu.
Mimi miaka 24 ndio nilikuwa namalizia form four.
VETA umesomea nini?
Wewe ndo umewini kuliko hao wanaomaliza vyuo vya makaratasi
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Kwani veta sio chuo?

Na lengo la kwenda veta lilikuwa nini?
 
Kujiua siyo Zambi. Inaweza kuwa dhambi.

Wewe ni mpumbavu. Sioni aya kuwaeleza wapuuzi wasiojitambua kuwa ni watu wasio na akili.

Ulikuja na wenzako hapa duniani? Kwa nini ujilinganishe nao? Kwa hiyo hapo baadae mwenzako akiwa Rais, utajiua kwa sababu wewe siye?

Bwana mdogo, kila mmoja ana njia yake. Mungu ndiye anajua hatma ya maisha ya kila mmoja. Wapo waliofeli la saba, ila ni waajiri wa wenye Shahada za Uzamili.

Ujuzi ulioupata VETA una manufaa makubwa kuliko Shahada walizopata wenzako, endapo tu utajitambua.

Miaka 24 si haba, ila si ya kulakamika kwamba umechelewa. Wapo wenzako wana miaka 35 na Shahada zao na bado sabuni wanaomba kwa mama zao.

Ujuzi ulioupata uutumie katika kujiletea mafanikio. Kilichobaki ni wewe kujitambua na kuacha kujilinganisha na wenzako.

Ila kama unaona akhera kuna unafuu, kajiue. Kuna njia 1000 za kujiua. Mtu asiyejitambua hata haamini katika uwepo wa Mungu.

Enenda tu Mbwa wewe .
Umempasha vilivyo, Kuna vijana wa ovyo, utakuta hata wenzake aliowaacha darasa la 7 tayari wameshaanza maisha na Wana familia zao, yeye Bado anategemea ndugu
 
Hao ni motivation speaker mkuu...
Mtaani mambo magumu sana lkin wazee wakiwa majukwaani au humu mtandaoni wanaongea as if wanatupenda sana na kututakia mema deep down hawana msaada wowote, lkn kama ni kijana wako au ndugu Yako humpi huu ushauri unapiga simu sehemu kijana ajibanze apate chochote ila wengn unawaambia mambo haya
Unaamini kuwa wazazi wote Wana uwezo huo wa kupiga simu sehemu ?
 
Usikate tamaa ndugu hata mimi ilinitokea unayopitia mm nilipiga 3yrs umeme kurudi mtaani hapanitambui ikabidi nijichanganye sikuchagua kazi ile fani niliona ni aibu kwangu nikawa fundi ujenzi kwa maana ukitoka veta unatoka na vingi hasa kama ulisoma vizuri eng science bas vingi utakua mwepesi sana sasa ni fundi mkubwa tu maisha yanasonga pia jua kutumia simu kwa mambo mazuri yenye faida na kukujuza zaidi.

Hapo huna maisha magumu yani smat unayo na bando unaweka af unasema hali ngumu wewe umejiweka kwenye mabano mwenyewe hakuna mtu ataumiza kichwa kukutoa na ukitaka kujitoa inahitaji uwe na moyo mgumu sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Safi , huo ndio mtazamo chanya
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume


Bado u mdogo sana, jifunze hata kutengeneza boda, na Maguta, nimeona vijana wadodo wanabadili maisha na kuwa very strong financial.

Nitakupa mfano:

Haoo Nyuma nilikuwa na maguta 10, na fundi mmoja hivi ana ya service kila wakati.

Baada ya mda fulani hivi akawa hayupo makini, madereva wanalalamika.

Siku moja nikamkuta Mdogo wake ndo kwanza anajifunza tengeneza katokea Tanga.

Yule Bwana mdogo alikuwa makini mno nikampenda, nikaongea naye sana.

Nikamwambia amwambia kaka yake anataka kurudi Tanga, nikampa laki 1 nikamwambia ukifika Tanga nipe niongee na wazazi wako.

Akarudi kwao, nikaongea na wazazi wake wamruhusu aje, awe ana deal na maguta yangu,wakakubali kwa malipo fixed.

Nikafungua ka workshop hivi nikamweka hapo, basi akawa anahangaika na maguta yangu hapo.

Baada ya mda, ile frame akaanza wek vifaa vya guta, pikipiki, kwa sasa dogo kajenga self 3 bed rooms, ana vijana 4, duka kubwa, mke na watoto.
 
Tunapoelekea sijui watoto wetu watakuaje, akili.zero na hawana uvumilivu
Hali inazidi kuwa mbaya, tunawadekeza watoto sana, hawafanyi chochote Cha kuwafikirisha, miaka 24 kijana amgetakiwa tayari amejitegemea at least Kwa kula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom