Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

mkuu nilifeli kidato channe nikaenda veta nipo viziri kwenye ufundi injini na gia box shida nahaso sana kutafuta kazi sipati Hadi nakata tamaa.
mkuu nilifeli kidato channe nikaenda veta nipo viziri kwenye ufundi injini na gia box shida nahaso sana kutafuta kazi sipati Hadi nakata tamaa.
Okay kwenda VETA ndio najiona huna akili, alafu bado unasema ni mzuri ktk ufundi engine na gear box, hivi tunadhani huo ufundi ulisema kutumia tumbo? We ni mtu mahiri, acha kujidharau, maana kujidharau ndio Kuna funga ufahamu usione fursa. Sana nashauri, Jitume kwa kwenda kwenye vijiwe vya garaji ukajitolee, maana watu sikuhizi Hawa amini vyeti Bali wanaamini umahiri. Tafuta kijiwe karibu na home, wambie unajitolea, ukiwa pale jenga ukaribu na wateja kwa kuonyesha nidhamu na uaminifu, chukua numba za simu unapoweza, Alafu baada ya miez 3, kama kijiwe hakilipi Anza kuomba tenda za matengenezo ya gari kama kufanya service ma nyumbani kwao, au muda wakiwa kazini , mdogo mdogo utashangaa mambo anavyopenda. Ipende kazi yako, onesha heshima na uaminifu. Siku hizi watu wanataka ma fundi waamini fu na wanaweza fanya kazi bila kusimamia, maana watu wengi wa nakuja garaji na kusimamia gari kwasababu ma fundi wengi wezi. Kila la kheri🙏
 
Vijana badilikeni kifikra. Hamna ajira iliyo bora duniani kama kujiajiri. Umewahi kumwona tajiri aliyeajiriwa labda awe mwizi au fisadi

Usikate tamaa
sawa bro
Sijui kwanini watoto wa siku hz mnakosa uvumilivu yaani pamoja na kupewa elimu ya VETA bado unalalamika huna kazi...wewe hata kama ungesoma Oxford bado ungekuwa mlalamikaji tu....Sasa wewe jiue tu kama umeona hiyo ni suluhisho la mwisho
sawa dada
 
Okay kwenda VETA ndio najiona huna akili, alafu bado unasema ni mzuri ktk ufundi engine na gear box, hivi tunadhani huo ufundi ulisema kutumia tumbo? We ni mtu mahiri, acha kujidharau, maana kujidharau ndio Kuna funga ufahamu usione fursa. Sana nashauri, Jitume kwa kwenda kwenye vijiwe vya garaji ukajitolee, maana watu sikuhizi Hawa amini vyeti Bali wanaamini umahiri. Tafuta kijiwe karibu na home, wambie unajitolea, ukiwa pale jenga ukaribu na wateja kwa kuonyesha nidhamu na uaminifu, chukua numba za simu unapoweza, Alafu baada ya miez 3, kama kijiwe hakilipi Anza kuomba tenda za matengenezo ya gari kama kufanya service ma nyumbani kwao, au muda wakiwa kazini , mdogo mdogo utashangaa mambo anavyopenda. Ipende kazi yako, onesha heshima na uaminifu. Siku hizi watu wanataka ma fundi waamini fu na wanaweza fanya kazi bila kusimamia, maana watu wengi wa nakuja garaji na kusimamia gari kwasababu ma fundi wengi wezi. Kila la kheri🙏
Asante kaka
 
Kesho toka nyumbani km kichaa anza kutembea ofisi moja baada ya nyingine nakwambia haifiki jioni umepata kazi Kuna watu wanaohitaji watu wa kazi sema vijana mnachagua kazi weka mechanics pembeni nenda kaungane na fundi furniture msaidie kulanda mbao jioni atakupa chochote na hapo ndio unaanza kujifunza taaluma nyingine, usikae ndani km utumbo utakufa njaa toka nje
✍️
Ni kweli ila
Hali iliyopo mtaani mkuu acha tu
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
wewe labda utatoboa tu pua.
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
watoto wa siku izi mnadanganywa sana na izi mamitandao.... vi short clip vya kipumbavu vinawajaza upepo na kujiona mmechelewa sana...


Sasa miaka 24 ni ya mtu kucomplain na kutaka kujiua aisee...
 
watoto wa siku izi mnadanganywa sana na izi mamitandao.... vi short clip vya kipumbavu vinawajaza upepo na kujiona mmechelewa sana...


Sasa miaka 24 ni ya mtu kucomplain na kutaka kujiua aisee...
miaka hii nimtu mzima lakini
 
N
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Nikajua una 56.
 
ndio mkuu.naishi dar kujichanganya najichanganya sema tunafanya kazi kwa ujira mdogo sana hadi mtu unajiuliza nitatoboa kweli kahela hii?
Hela ya kula huenda bado ni mzozo(unategemea mzee) alafu unawaza kutoboa.
 
1. Mfumo wa elimu Tanzania si tija hauna maana Wala manufaa.

2. Kusoma shule ni kukupa upeo wa kutambua Mambo kadhaa katika jamii na si kupata ajira Wala pesa.

3. Mechanical ulisomea VETA ifanyie kazi kuwa mbunifu nenda gereji ulizia ni changamoto gani mafundi wengi wanashindwa kufanya ufanye wewe. ( If you never try / do then forever you will never know. )

4. Fanya hata kibarua Cha kujitolea utapata ajira au connection ndani yake. Usibweteke kukaa kijiweni au JF.

5. Acha kuamini Mambo ya imani za dini muda mwingi wewe piga kazi kuwa mbunifu umiza kichwa Kuna Mambo bilioni kufanya bongo hata hao professor hawajafanya. Be a creator...

6. Jenga TAMADUNI za kujichanganya katika jamii ongea na kila mtu jadili Mambo kadhaa yenye tija.

7. Usimize kichwa kwa wakati uliopo Wala kukata tamaa, maana haijawa riziki, uache papara riziki yako Mola Mlezi atakuletea wakati wowote.

JIONGEZE KAMA MTOTO WA KIUME ACHA KULIA LIA KAZA MWENDO HIZO NI CHANGAMOTO UNATAKIWA UKABILIANE NAZO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom