Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

U
wakuu ingekua kujiua sio zambi ningejiua tuu maana Sasa maisha yananinyoosha

najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wamwisho chuo Mimi sinalolote lamaana dah

najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

hatachakula sitamani kwamawazo dah

yanisielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

ngojatu niche zambi kama miaka miwili niwe mtu waibada kwasana then najigongesha rod niepukane na haya mahangaiko

haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu niaibu mtoto wakiume Ukifikia kia uamzi wa kuujiua uje ufuate zana za kukamilisha adhima yako mkuu,nitakupatia pasipo gharama yoyote.
 
Acha kukata tamaa mapema kuna wenzio wapo beyond 40 na wanategemea ndugu acha kukata tamaa kirahisi hivyo
✍️
Appreciate particular. Huyu Kwa mujib wa maisha yake na mipango yake Yuko nyuma ya muda. Ni sawa na kukuta Kuna wengine wakimaliza chuo pamoja n kukosa ajira, hawana mbele Wala nyuma lakin mitaani wanadunda vilevile. Wengine wanapata pa kujishkiza lakin wanawaza na kuchekecha zaidi wanasongaje mbele.

Ni Bora alivyokuja kuleta shuhuda hapa kuwa hata wanaoshauriwa kwenda VETA Kuna siku watalia na kusaga meno. Suluhu la hii kesi y ajira ni kupanga uzazi tu
 
wakuu ingekua kujiua sio zambi ningejiua tuu maana Sasa maisha yananinyoosha

najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wamwisho chuo Mimi sinalolote lamaana dah

najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

hatachakula sitamani kwamawazo dah

yanisielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

ngojatu niche zambi kama miaka miwili niwe mtu waibada kwasana then najigongesha rod niepukane na haya mahangaiko

haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu niaibu mtoto wakiume
Kujiua siyo Zambi. Inaweza kuwa dhambi.

Wewe ni mpumbavu. Sioni aya kuwaeleza wapuuzi wasiojitambua kuwa ni watu wasio na akili.

Ulikuja na wenzako hapa duniani? Kwa nini ujilinganishe nao? Kwa hiyo hapo baadae mwenzako akiwa Rais, utajiua kwa sababu wewe siye?

Bwana mdogo, kila mmoja ana njia yake. Mungu ndiye anajua hatma ya maisha ya kila mmoja. Wapo waliofeli la saba, ila ni waajiri wa wenye Shahada za Uzamili.

Ujuzi ulioupata VETA una manufaa makubwa kuliko Shahada walizopata wenzako, endapo tu utajitambua.

Miaka 24 si haba, ila si ya kulakamika kwamba umechelewa. Wapo wenzako wana miaka 35 na Shahada zao na bado sabuni wanaomba kwa mama zao.

Ujuzi ulioupata uutumie katika kujiletea mafanikio. Kilichobaki ni wewe kujitambua na kuacha kujilinganisha na wenzako.

Ila kama unaona akhera kuna unafuu, kajiue. Kuna njia 1000 za kujiua. Mtu asiyejitambua hata haamini katika uwepo wa Mungu.

Enenda tu Mbwa wewe .
 
Mipumbavu sana yani tuna kizazi cha kilofa sana hata kupambanua mambo hawawezi,shida kidogo tu kuomba msaada ndomana vitoto vingi vya kiume vinapumuliwa
Iyo ndo shida sipat picha ikifika 2030 huko itakuwaje yaan mtu kukosa ajira eti kisa kasoma kdg ndo anataka ajiue yaan ndo kafikiria wee soln kaona ajiue ndo mana vinapigwa sn mashine na vingi siku izi vinakuwa papai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom