wewe bado kijana mdg ,una time ya kupanglia maisha jitulze anza polepole,
kuna mtu aliwah kusema chanzo kimoja wapo cha kupoteza furaha yako n kujilinganisha na wengne.
Mkuu,niamin mm ,,kuna watu magumu waliyoyabeba kama ungeyaona basi ungejiona unanafuu na ushukuru Mungu.
kuna mtu aliwah kusema chanzo kimoja wapo cha kupoteza furaha yako n kujilinganisha na wengne.
Mkuu,niamin mm ,,kuna watu magumu waliyoyabeba kama ungeyaona basi ungejiona unanafuu na ushukuru Mungu.