Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

Kujiua siyo Zambi. Inaweza kuwa dhambi.

Wewe ni mpumbavu. Sioni aya kuwaeleza wapuuzi wasiojitambua kuwa ni watu wasio na akili.

Ulikuja na wenzako hapa duniani? Kwa nini ujilinganishe nao? Kwa hiyo hapo baadae mwenzako akiwa Rais, utajiua kwa sababu wewe siye?

Bwana mdogo, kila mmoja ana njia yake. Mungu ndiye anajua hatma ya maisha ya kila mmoja. Wapo waliofeli la saba, ila ni waajiri wa wenye Shahada za Uzamili.

Ujuzi ulioupata VETA una manufaa makubwa kuliko Shahada walizopata wenzako, endapo tu utajitambua.

Miaka 24 si haba, ila si ya kulakamika kwamba umechelewa. Wapo wenzako wana miaka 35 na Shahada zao na bado sabuni wanaomba kwa mama zao.

Ujuzi ulioupata uutumie katika kujiletea mafanikio. Kilichobaki ni wewe kujitambua na kuacha kujilinganisha na wenzako.

Ila kama unaona akhera kuna unafuu, kajiue. Kuna njia 1000 za kujiua. Mtu asiyejitambua hata haamini katika uwepo wa Mungu.

Enenda tu Mbwa wewe .
Akufe tu ...useless kabisa
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
sio aibu wewe ndio unakuza mambo,vp mzimu umekutokea ukasema kujiua ni dhambi?
 
Mkuu Kwenye maisha yako Usipende kuji linganisha na watu.
👉Kila mmoja ana nafasi na wakati wake, so take care
👉Una sema Ume pigika🤔, miezi 4 iliyopita I was flying so high on my pick. Sasa nakosa hata hamu ya kula.
👉but Mimi ni Nani Ni lalamike, wakati Kuna watu hawana uhai, vilema, vipofu so walk it out fool.
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Usichokijua ni kwamba Kuna wenzako wenye degree na masters na wanakula msoto nini veta bwana!! Na kingine huko unakotaka kwenda kwenye ibada siku hizi wanahubiri sadaka tu unless ni dini ya munyaazi mungu na hivyo ulivyokuwa huna pesa ndio watakuua taratibu kwa depression huku unajiona
 
Usichokijua ni kwamba Kuna wenzako wenye degree na masters na wanakula msoto nini veta bwana!! Na kingine huko unakotaka kwenda kwenye ibada siku hizi wanahubiri sadaka tu unless ni dini ya munyaazi mungu na hivyo ulivyokuwa huna pesa ndio watakuua taratibu kwa depression huku unajiona
daa kweli ndio mana watoto wengi wakizaliwa wanaanza kulia bila sababu.wanajua mbeleni chamoto watakiona
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Wacha ufala wewe. Mimi mpaka leo 35 nipo kwetu yani wewe 24 unajutia maisha? Acha mambo ya ajabu jombaa.
 
daa kweli ndio mana watoto wengi wakizaliwa wanaanza kulia bila sababu.wanajua mbeleni chamoto watakiona
Kesho toka nyumbani km kichaa anza kutembea ofisi moja baada ya nyingine nakwambia haifiki jioni umepata kazi Kuna watu wanaohitaji watu wa kazi sema vijana mnachagua kazi weka mechanics pembeni nenda kaungane na fundi furniture msaidie kulanda mbao jioni atakupa chochote na hapo ndio unaanza kujifunza taaluma nyingine, usikae ndani km utumbo utakufa njaa toka nje
✍️
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Vijana badilikeni kifikra. Hamna ajira iliyo bora duniani kama kujiajiri. Umewahi kumwona tajiri aliyeajiriwa labda awe mwizi au fisadi

Usikate tamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom