Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

Pole sana pia pole mno
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Mdogo angu pole sana aiseee..
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣..... unakijua kilimo kweli?????
Hao ni motivation speaker mkuu...
Mtaani mambo magumu sana lkin wazee wakiwa majukwaani au humu mtandaoni wanaongea as if wanatupenda sana na kututakia mema deep down hawana msaada wowote, lkn kama ni kijana wako au ndugu Yako humpi huu ushauri unapiga simu sehemu kijana ajibanze apate chochote ila wengn unawaambia mambo haya
 
Hao ni motivation speaker mkuu...
Mtaani mambo magumu sana lkin wazee wakiwa majukwaani au humu mtandaoni wanaongea as if wanatupenda sana na kututakia mema deep down hawana msaada wowote, lkn kama ni kijana wako au ndugu Yako humpi huu ushauri unapiga simu sehemu kijana ajibanze apate chochote ila wengn unawaambia mambo haya
Kabisa mkuu
 
Mkuu kwa ujuzi wako huo tafuta namna toka bongo nenda mbele after 1 year kazi ukipata wewe ni mkurugenzi Tz... Ushauri wangu jiongoze mbele mkuu

Hiyo skills ni silaha kubwa au ni sawa na kifaru chakivita uwanja wa vita sema wewe waiona kama umeshika kisu...
 
Mkuu kwa ujuzi wako huo tafuta namna toka bongo nenda mbele after 1 year kazi ukipata wewe ni mkurugenzi Tz... Ushauri wangu jiongoze mbele mkuu

Hiyo skills ni silaha kubwa au ni sawa na kifaru chakivita uwanja wa vita sema wewe waiona kama umeshika kisu...
Mbele ukimaanisha wapi...?
 
Maisha ni kupambana mdogo wangu mimi mwenyewe na degree yangu hii nafanya umachinga apa mbezi mwisho na bado sijatoboa nina miaka 24.

Usikate tamaa mapema hauko pekee yako wote tunapitia hali ngumu hasa vijana wengi tuliopitia chuo kikuu. Kikubwa ni kumuomba Mungu atupe nguvu kwakweli
 
Maisha ni kupambana mdogo wangu mimi mwenyewe na degree yangu hii nafanya umachinga apa mbezi mwisho na bado sijatoboa nina miaka 24.

Usikate tamaa mapema hauko pekee yako wote tunapitia hali ngumu hasa vijana wengi tuliopitia chuo kikuu. Kikubwa ni kumuomba Mungu atupe nguvu kwakweli
hadinajiuliza huu umli nispesho kwa mateso au vipi?
 
ndio mkuu.naishi dar kujichanganya najichanganya sema tunafanya kazi kwa ujira mdogo sana hadi mtu unajiuliza nitatoboa kweli kahela hii?
Fanya kazi kwa bidii na weredi pesa isiwe kipaumbele japo ni muhimu kuendeshea maisha. hususani kama bado ni mgeni kwenye tasnia.. wee endelea kupambana usichoke kuendelea kujifunza mkuu. Mambo ya ufundi yanataka uvumilivu kupata connection na kuaminiwa zaidi.
 
Usikate tamaa ndugu hata mimi ilinitokea unayopitia mm nilipiga 3yrs umeme kurudi mtaani hapanitambui ikabidi nijichanganye sikuchagua kazi ile fani niliona ni aibu kwangu nikawa fundi ujenzi kwa maana ukitoka veta unatoka na vingi hasa kama ulisoma vizuri eng science bas vingi utakua mwepesi sana sasa ni fundi mkubwa tu maisha yanasonga pia jua kutumia simu kwa mambo mazuri yenye faida na kukujuza zaidi.

Hapo huna maisha magumu yani smat unayo na bando unaweka af unasema hali ngumu wewe umejiweka kwenye mabano mwenyewe hakuna mtu ataumiza kichwa kukutoa na ukitaka kujitoa inahitaji uwe na moyo mgumu sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom