Haya maisha sio poa kwakweli

Haya maisha sio poa kwakweli

Fanya kazi kwa bidii na weredi pesa isiwe kipaumbele japo ni muhimu kuendeshea maisha. hususani kama bado ni mgeni kwenye tasnia.. wee endelea kupambana usichoke kuendelea kujifunza mkuu. Mambo ya ufundi yanataka uvumilivu kupata connection na kuaminiwa zaidi.
kweli mkuu.juzi nilienda sehemu kutengeneza gari nikachafuka sana maoli tele fundí nilie msaidia akanipa buki tano tuu haliyakuwa yeyé kachukua milioni na ushee
nilijitukana sana mjini nafanyanini Sasa?
 
Kwenye mazishi yako sasa...
images (4).jpeg
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Acha kujilinganisha na watu, kila mmoja ana njia yake na muda wake wa mafanikio.
 
Alooooooooooo.
jf watu waliojikatia tamaa wanazidi kuongezeka kila kukicha.
sema ni vizuri maana huku ndo sehemu atleast unaweza kupata mawazo rafiki.


Hakuna ujuzi wa bure sema shida ni namna yakuugeuza ujuzi kuwa pesa
.
Hata waliopo vyuo wakimaliza kama hawana growth mindset basi wanaishia kulialia.
hivyo jitafakari upya mkuu ni wapi unakwama.
 
Skia chalii nikushauri Sasa!
Piga kazi yeyote halali pasina kumuanya raia mtu yoyote (sijui tofauti kati ya yeyote na yoyote mi mchuga)

Elimu inakolea vizuri ukishajua kutafuta kibunda

Ukishajua kubeba zile tofali za kerai huku chuga tunazijua ukachanganya na elimu yako unaweza ukasogea
 
Akili yako bado changa,endelea kupata malez kwa wazaz.. Hata yesu anaishi kwa mshua wake hadi sasa!
 
1. Mfumo wa elimu Tanzania si tija hauna maana Wala manufaa.

2. Kusoma shule ni kukupa upeo wa kutambua Mambo kadhaa katika jamii na si kupata ajira Wala pesa.

3. Mechanical ulisomea VETA ifanyie kazi kuwa mbunifu nenda gereji ulizia ni changamoto gani mafundi wengi wanashindwa kufanya ufanye wewe. ( If you never try / do then forever you will never know. )

4. Fanya hata kibarua Cha kujitolea utapata ajira au connection ndani yake. Usibweteke kukaa kijiweni au JF.

5. Acha kuamini Mambo ya imani za dini muda mwingi wewe piga kazi kuwa mbunifu umiza kichwa Kuna Mambo bilioni kufanya bongo hata hao professor hawajafanya. Be a creator...

6. Jenga TAMADUNI za kujichanganya katika jamii ongea na kila mtu jadili Mambo kadhaa yenye tija.

7. Usimize kichwa kwa wakati uliopo Wala kukata tamaa, maana haijawa riziki, uache papara riziki yako Mola Mlezi atakuletea wakati wowote.

JIONGEZE KAMA MTOTO WA KIUME ACHA KULIA LIA KAZA MWENDO HIZO NI CHANGAMOTO UNATAKIWA UKABILIANE NAZO.
Rahisi sana kuandika kama hivi
 
kweli mkuu.juzi nilienda sehemu kutengeneza gari nikachafuka sana maoli tele fundí nilie msaidia akanipa buki tano tuu haliyakuwa yeyé kachukua milioni na ushee
nilijitukana sana mjini nafanyanini Sasa?
Hata huyo aliyechukua million alianza kustruggle. Hazikuja tu weka bidii kwanza kwenye kazi ndani ya miaka mitatu hata mitano mbele utaona matunda.
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Kama ndoa ilivyo utapeli na elimu ya juu imekuwa utapeli pia.
 
Wakuu ingekua kujiua sio dhambi ningejiua tuu maana sasa maisha yananinyoosha

Najuta kwanini sijasoma wenzangu wanamaliza mwaka wa mwisho chuo Mimi sina lolote la maana dah

Najiona mjinga sana kwanini nilienda veta kupoteza miaka mitatu Bora ningelima au kuanzisha biashara ningekuwa mbali kidogo

Hata chakula sitamani kwa mawazo dah

Yani sielewi asubuhi niende kuomba kazi wapi aisee

Ngoja tu niache dhambi kama miaka miwili niwe mtu wa ibada kwa sana then najigongesha road niepukane na haya mahangaiko

Haiwezekani miaka 24 bado tuu nategemea ndugu ni aibu mtoto wa kiume
Utoto
 
hiyo ni roho! miaka 24, bado ni umri mdogo sana. njoo kanisani (kwa waliookoka kwa kumaanisha, tukuombee) utapata mwanzo mpya. pole


YESU NI BWANA & MWOKOZI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom