Adrian2716
Member
- Oct 23, 2023
- 98
- 293
- Thread starter
- #121
hapana mkuu popote tuKujitolea nimekuelewa, vp kuajiriwa ? Lazima iwe Arusha pia?..
hapana mkuu popote tuKujitolea nimekuelewa, vp kuajiriwa ? Lazima iwe Arusha pia?..
Hii reply imenifurahisha sanaNilikimbia chuo mwaka wa kwanza.Nipo tu huku mtaani nahakikisha vifurushi vya watu vinatoka dsm vinafika mikoani kwa usalama.



Kabla ya dully Sykes kutoka na juma nature nipo kariakoo kwenye zaga tu nakesha kaza jombaaaaa hatuka kukosa top twenty one dayWahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
asante sanaDuuh pole
Nonsense!Dah mimi na elimu yangu ya 4m4 naenjoy wala sijutii kuzaliwa😂😂😂😂 wenye alimu kubwa mnajidaigi mko level fulani sisi tunawaangalia mkiwa chuo mnajidai mnakula pisi kali ambazo mkimaliza chuo zinawakimbia zinakuja kwetu sisi 4m4 felia alafu tunazifaki mpka zinaenjoy maana zinajua tusipozifaki sisi hazipati maokoto. Ehhh Mungu ww ni fundi sana.
Kuna dogo kamaliza dip ana 2.9 gpa na kala shavu zuri tu naye anaenjoy maiaha kuliko ww wa 4.0.
Nikuambie tu hebu jichimbie kaburi ujizike unazidiwa maisha na nape kilaza😂😂😂 et makamba anakuzidi 😂😂😂 yaani unazidiwa hadi na bashite zee la kufoji dah maisha haya hayako fea kabisa😂😂😂
ExactlyNonsense!
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
nikajua gpa ya nne koz ya doctor of medicineAccounting and Finance ni nyepesi mkuu??nikajua gpa ya nne koz ya doctor of medicine
Aende veta kufanya nini mkuu labda ungemwambia angesomea uinjinia au udaktari wewe unashauri ujingaMkiambia nendeni VETA mnaona ushamba Sasa una GPA ndo Nini hata kibara saidia fundi nashindwa kukuita najua skills za handyman huna.
Sasa wanaosoma MD wasemaje boss tena ww diploma wenzio wamepiga five na six PCB na chuo wakasoma MD na wengine wamemaliza chuo ila wamekosa kazAccounting and Finance ni nyepesi mkuu??
Sawa ila punguza mshawasha au na ww una 4.0 alafu huelewi maisha yanavyosonga. 😂😂😂😂😂Nonsense!
Hizo ni kozi za kusoma wadada sio mtoto wa kiume ona sasa unahangaika kupata ajira wakati angekua mdada hapo ashanyanduliwa kapata kaziAccounting and Finance ni nyepesi mkuu??
Idiot!Sawa ila punguza mshawasha au na ww una 4.0 alafu huelewi maisha yanavyosonga. 😂😂😂😂😂
Kuna MD anakosa kazi?Sasa wanaosoma MD wasemaje boss tena ww diploma wenzio wamepiga five na six PCB na chuo wakasoma MD na wengine wamemaliza chuo ila wamekosa kaz
JAMII FORUMS KUNA MAFISI
Tembea uoneKuna MD anakosa kazi?
Sawa kwani nakataa ila dawa uliopakwa imeingia😂😂😂Idiot!
Pole sana aisee, maisha ni safari iliyojawa na mambo kadha wa kadha, haya ni majira yako ya kuwa katika hali hiyo. Napenda kukutia moyo usikate tamaa amini kesho yako nzuri yaja. Nyakati ngumu kwenye maisha huja na kupita. Nakutakia mapambano mema, penda kujichanganya na watu usikae peke yako muda mwingi.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa