Haya maisha bhana!!

Haya maisha bhana!!

Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Kwer we mbugira una mda gani tangu umemaliza chuo
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Shukuruni Mungu kwa kila jambo, unayokutana nayo ni kwa mapenzi ya Mungu
 
shame... shame..
Watu mliosoma bwana,unadhani huyo anazidiwa nini na ambae amesoma sana na ameajiriwa mahali analipwa kwa kujilamba kwa boss na samahani samahani nyingi boss akinuna?

Hata wewe kama unajiona umesoma sana lakini hujajua kuwa duniani ili kuwe na uwiano lazima wawepo wasiosoma na waliosoma basi jua hata wewe bado kichwani ni kopo tu.
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Hebu nitumie detailed cv niangalie kama naweza kuweka mahali kama ukiwa interested. Thanks
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Chuo gani kijana.
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Kukata tamaa ni dhambi, alafu maisha ni foleni zamu yako ipo inakuja.

Endelea kupambana...
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Ila kama chuo cha maana utatoboa tu. Ungekuwa na hela kidogo ungeanza CPA.
 
Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Isje kuwa wewe hujasoma unakuja kukatisha tamaa wasomi......nyie ngumbaro tunawajua mnavyoponda vijana kisa hawajapata ajira.

Elimu Elimu Elimu
 
Back
Top Bottom