Mightyarmy
JF-Expert Member
- Oct 10, 2023
- 312
- 455
Mungu anakuwazia mema ndugu yangu wala usikate tamaa. Wengi wamepitia mapito yako na sasa wako mbali. Muombe Mungu akufungue macho kwa sababu kuna opportunity nyingi sana katika dunia hii.
Atachagua yeye atakachopendaTourism department ipi
sawa sawa mkuuMungu anakuwazia mema ndugu yangu wala usikate tamaa. Wengi wamepitia mapito yako na sasa wako mbali. Muombe Mungu akufungue macho kwa sababu kuna opportunity nyingi sana katika dunia hii.
Nakuelewa japo wapo watakaokubeza!Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Wengine hapa wanaongea tunilienda TRA nikapata 78 na sikuitwa walichukua kuanzia 80...
Shook
Inaboa lakini.. mpk unaweza tamani rudisha siku nyuma, uchukue ada yako ukaifanyie mavitu.
kweli mkuuAisee mchakato wa maisha Ni shughuli pevu Sana sio ya kitoto tuendelee kupambana wakuu
sawa sawa mkuuPole mzee, kila jambo na wakati wake. Usipanic.
Daah vijana bhana kusoma ni hatua moja ya maisha nadhani inatakiwa kubadilika kidogo kuwa kama wenzetu wa Nchi za Afrika Magharibi huko wao wakipata Elimu wanajua ni moja ya nyenzo muhimu zitakazomsaidia na wala sio kutembea na matokeo sijui ya G.P.A wala nini na tunawaona wapo kila pembe ya Dunia wakitafuta maisha...



site wapi mkuuNjoo site wewe tupige hela hizo kazi zenu za ofisini ni adimu nowadays bila connection
Kuna watu hawaelew anachopitia mkuu ila mim nakuelewa, Kuna mda najilaum juu ya faculty yangu niliyosomea na kutamani accounting leo naona mtu wa accounting analalamika hala dah!,Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa