Haya maisha bhana!!

Haya maisha bhana!!

Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.

Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Mkuu ingia kwenye academics hiyo GPA yako ni lulu. Uzuri wa academics interview mnajikuta wawili tu au watatu!!
 
Dah mimi na elimu yangu ya 4m4 naenjoy wala sijutii kuzaliwa😂😂😂😂 wenye alimu kubwa mnajidaigi mko level fulani sisi tunawaangalia mkiwa chuo mnajidai mnakula pisi kali ambazo mkimaliza chuo zinawakimbia zinakuja kwetu sisi 4m4 felia alafu tunazifaki mpka zinaenjoy maana zinajua tusipozifaki sisi hazipati maokoto. Ehhh Mungu ww ni fundi sana.


Kuna dogo kamaliza dip ana 2.9 gpa na kala shavu zuri tu naye anaenjoy maiaha kuliko ww wa 4.0.

Nikuambie tu hebu jichimbie kaburi ujizike unazidiwa maisha na nape kilaza😂😂😂 et makamba anakuzidi 😂😂😂 yaani unazidiwa hadi na bashite zee la kufoji dah maisha haya hayako fea kabisa😂😂😂
 
Watu mliosoma bwana,unadhani huyo anazidiwa nini na ambae amesoma sana na ameajiriwa mahali analipwa kwa kujilamba kwa boss na samahani samahani nyingi boss akinuna?

Hata wewe kama unajiona umesoma sana lakini hujajua kuwa duniani ili kuwe na uwiano lazima wawepo wasiosoma na waliosoma basi jua hata wewe bado kichwani ni kopo tu.
povu
 
hata pakuanzia sipaoni mkuu
Umenena vyema, hapa ndipo vijana wengi wanafeli; expectations zao zinakuwa tofauti na uhalisia. Pakuanzia sio lazima pawe unapotaka wewe (at your kevel), fanya kinachowezekana, bila kujali hadhi uliyo nayo.

Kwenye uchumi, kuna kanuni ya demand, price na supply; hivi ndivyo vinavyoendesha soko la bidhaa yoyote ile hapa duniani. Watu wanaotafuta kazi ni bidhaa zilizopo sokoni (soko la ajira), na wateja wa bidhaa hizi ni makampuni mbalimbali.

Sasa ni kawaida kuwa, supply ikiwa kubwa, bei ya bidhaa inashuka (na kinyume chake ni sahihi), maana mteja anakuwa na choice nyingi, na inafika mahali wateja wanatosheka, hivyo soko (la ajira) linafurika bidhaa na wanunuzi hakuna.

Ni wakati huu ambapo bidhaa itafute masoko tofauti na yale yaliyozoeleka. Masoko haya yanaweza kuwa ndani ya nchi au nje ya nchi. Na kumbuka soko ulilotegemea limeshindikana (limefurika), basi, usiwe selective sana kwenye masoko. Uza bidhaa hata katika soko litakalokulipa bei ndogo ili upate hela kidogo ambayo utaitumia kumodify products zako (gain experince).

Inatokea wakati fulani, demand inakuwa kubwa, kulingana na hali ya uchumi kwa wakati husika (e.g., economic boom). Hapa makampuni yanahaha huku na huko kutafuta rasilimali watu (bidhaa). Kwahiyo, kama ulimodify product yako (ujuzi wako), sasa utauza kwa bei kubwa zaidi kuliko pale awali. Hivyo tusiwe rigid, tuendane na mazingira yaliyopo.
 
Nimekupa fact unaita povu,wewe si umesoma sana huna povu njoo sasa utueleweshe hapa kwamba una nini cha ziada kuwazidi wasiosoma?na hata kama unacho je Tanzania hii wangapi mnafanana?

Au nduguzo waliosoma sana wana nini cha kusimama mbele ya hadhira ya wasiosoma wakawaambia sisi kwa elimu zetu za kuunga unga tuna hiki hiki na kile?obviously hakuna ni kujifariji na yes no yes no zenu tu hamna kitu,jifunze kuheshimu chaguzi za watu mtu amesema aliamua kuacha chuo akaingia mtaani kutafuta maisha hujui kilimkuta nini wewe unamu-attack na maneno ya kukera ungekaa kimya ungepungua chochote?
 
Nimekupa fact unaita povu,wewe si umesoma sana na huna povu njoo sasa utueleweshe hapa kwamba una nini cha ziada kuwazidi wasiosoma?na hata kama unacho je Tanzania hii wangapi mnafanana?

Au nduguzo waliosoma sana wana nini cha kusimama mbele ya hadhira ya wasiosoma wakawaambia sisi kwa elimu zetu za kuunga unga tuna hiki hiki na kile?obviously hakuna ni kujifariji na yes no yes no zenu tu hamna kitu,jifunze kuheshimu chaguzi za watu mtu amesema aliamua kuacha chuo akaingia mtaani kutafuta maisha wewe unamu-attack na maneno ya kukera ungekaa kimya ungepungua chochote?
sisomi gazeti mkuu..bye
 
Nako kumejaa.
Sio kweli mkuu, kila siku kuna nafasi za kufundisha ziko re-advertised!! Niliona mzumbe walitaka tutorial assistants wawe na 4.0 ya Undergrad na zile posts zikawa re advertised few months ago meaning hawakupata applicants wa kutosha wenye qualifications.

Ila kazi zingine zote za entry level lazima applications zivuke buku
 
Back
Top Bottom