sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Ni upande wa mume ndio wenye matatizo, ndugu zake kwa miaka takribani miwili hawampendi mke wa kaka yao, kwa makadirio ni kwamba kaka yao ana kazi nzuri na biashara zake, uchumi upo stable na mafanikio hayajifichi haya yanaonekana wazi kabisa, ni watu wa Mbeya huko (Mbeya ina makabila mengi)
Sijui kama kulikuwa na intervation yao lakini kwa nyumba ikawa ni vurugu mechi, mke akaamua kuondoka pamoja na mtoto.
Mke nae kaona yaishe tu, Ni msomi mwenye degree yake anaejua divorce procedures na suala la kugawana mali, Hapo sasa kwenye kugawana mali kumekuwa na mzozo mkubwa sana wa ndugu wa upande wa mume kuchukia endapo jambo hilo litafanyika.
Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote kwa pupa, wamepoteza mtoto wa kaka yao, ndoa ya kaka yao na mali za kaka yao zinaenda kutandikwa pasu kwa pasu.
Sijui kama kulikuwa na intervation yao lakini kwa nyumba ikawa ni vurugu mechi, mke akaamua kuondoka pamoja na mtoto.
Mke nae kaona yaishe tu, Ni msomi mwenye degree yake anaejua divorce procedures na suala la kugawana mali, Hapo sasa kwenye kugawana mali kumekuwa na mzozo mkubwa sana wa ndugu wa upande wa mume kuchukia endapo jambo hilo litafanyika.
Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote kwa pupa, wamepoteza mtoto wa kaka yao, ndoa ya kaka yao na mali za kaka yao zinaenda kutandikwa pasu kwa pasu.