pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Msimuonee Vicky Kamata tafuteni taarifa sahihi kisha mseme.
Mimi nimefuatilia kwa kina na nimepata stori kubwa kutoka kwa ndugu wa karibu wa Likwelile. Ameongea kwa uchungu sana juu ya watoto wa marehemu wanavyozidi kumuaibisha ndugu yao kwa tamaa ya mali za Vicky.
Shemeji yetu tunamjua na amewalea hawa vijana vizuri tu. Vicky hajafuata mali kwa Likwelile ila alipeleka mali. Hizo bilion nne wanazosema ni uongo Likwelile hakuwa na hizo mali nyingi?
Waseme ukweli kabla hajamuoa Vicky Likwelile alikuwa anaishi wapi? Jibu ni Tegeta. Alikuwa na Kampuni gani tuonyeshwe! Alikuwa na hiyo Park?
Hapana.
Nakubaliana na huyo anaesema Vicky kaonewa, Vicky kaolewa na kaka akiwa na mali zake za thamani kubwa, watoto wamezijumlisha wakati hazina majina ya Baba yao. Vicky alimfahamu likwelile akiwa na mke wake na walikuwa wakiishi Tegeta.
Baadae mke akafariki msiba wake nilikuwepo na viongozi wakubwa wa nchi walifika kumzika shemeji yetu huyo nakumbuka tulikuwa na Makamu wa Rais wakati wa wakati huo, msiba wa mke wa Likwelile uliendeshwa kiserikali na wote tulishuhudia.
Baadae Likwelile akaanza kuishi na Vicky Mikocheni tulikuwa tunaenda anatupikia wa msukuma wa watu, siungani na wanaotaka kumuonea. Swali langu kama shemeji yetu Mary Ibrahim alikuwa mke halali ni vipi Likwelile alimtambulisha serikalini Musanchi na alipofariki akazikwa kiserikali?
Kwanini Mary hakuzuwia ile ndoa ya Mke wa Tegeta aliiruhusu ikadumu miaka zaidi ya 30? Vicky aliolewa baada ya Musachi kufariki nikisema Vicky hajui habari za Mary anajua habari za Musanchi nitakuwa nimemuonea Mary?
Inawezekana Vicky hana ndoa halali basi mpeni mali zake aendelee na maisha yake.
Mimi nimefuatilia kwa kina na nimepata stori kubwa kutoka kwa ndugu wa karibu wa Likwelile. Ameongea kwa uchungu sana juu ya watoto wa marehemu wanavyozidi kumuaibisha ndugu yao kwa tamaa ya mali za Vicky.
Shemeji yetu tunamjua na amewalea hawa vijana vizuri tu. Vicky hajafuata mali kwa Likwelile ila alipeleka mali. Hizo bilion nne wanazosema ni uongo Likwelile hakuwa na hizo mali nyingi?
Waseme ukweli kabla hajamuoa Vicky Likwelile alikuwa anaishi wapi? Jibu ni Tegeta. Alikuwa na Kampuni gani tuonyeshwe! Alikuwa na hiyo Park?
Hapana.
Nakubaliana na huyo anaesema Vicky kaonewa, Vicky kaolewa na kaka akiwa na mali zake za thamani kubwa, watoto wamezijumlisha wakati hazina majina ya Baba yao. Vicky alimfahamu likwelile akiwa na mke wake na walikuwa wakiishi Tegeta.
Baadae mke akafariki msiba wake nilikuwepo na viongozi wakubwa wa nchi walifika kumzika shemeji yetu huyo nakumbuka tulikuwa na Makamu wa Rais wakati wa wakati huo, msiba wa mke wa Likwelile uliendeshwa kiserikali na wote tulishuhudia.
Baadae Likwelile akaanza kuishi na Vicky Mikocheni tulikuwa tunaenda anatupikia wa msukuma wa watu, siungani na wanaotaka kumuonea. Swali langu kama shemeji yetu Mary Ibrahim alikuwa mke halali ni vipi Likwelile alimtambulisha serikalini Musanchi na alipofariki akazikwa kiserikali?
Kwanini Mary hakuzuwia ile ndoa ya Mke wa Tegeta aliiruhusu ikadumu miaka zaidi ya 30? Vicky aliolewa baada ya Musachi kufariki nikisema Vicky hajui habari za Mary anajua habari za Musanchi nitakuwa nimemuonea Mary?
Inawezekana Vicky hana ndoa halali basi mpeni mali zake aendelee na maisha yake.