kwa sentensi hii nakupa POINT...ila mkuu kuna baaadhi wako serious..mayb mimi na wewe ndio tunachukulia poa
bora upumulie mashine kuliko malkia wako akatoka shapeless 🙂
Asante kwa supu tamuuu Lady doctor...
unatakiwa ukinywa hiyo uwe karibu na kaka yangu la sivyo akina Eli79 watakupata kirahisi ujuee, wenzio leo tunamechi kali ndiyo tunafanya maandalizi
Eli79 kwani mi na wewe hatuko sirias......Mi nadhani walioko serious wana-pm-ana bwana..sasa humu utakuwa serious kweli~ hembu tumia medulla kidogo bwna, haa!
Heaven on earth naomba hapa nikutajie madada kwenye ukoo wetu
wadada hatujazaliwa wengi manake niko mimi peke yangu wa kike ila tu nina dada kwa baba mkubwa ni Paloma na dada kwa baba mdogo ni Madame B.
lakini nina shemeji yako Kaizer na mke mwenzangu ni dada mkubwa AshaDii
wewe na mbeba maboksi wapi na wapi bibie.. kubali tu yaishe!!
Mamito Heaven on earth..karibu sana nyumbani a.k.a feel at home my wii.
figganigga anazujua habari hizi...?dont underestimate your self bana
tuachane na hayo,hebu tuendelee kulijenga penzi letu
yaani, naona TheDealer kusoma hajui hata picha kutazama inamshinda......Tangia lini Fixed Point akawa mgeni?
dont underestimate your self bana
tuachane na hayo,hebu tuendelee kulijenga penzi letu
Heaven on earth kumbuka nakupenda kuliko chochote. na mipango yetu ipo pale pale. soon tutamuona Baba V.
cc: Lady doctor. mia