Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
kwangu mie cc itabaki cc tu...siamini kitu hapa...jamani TheDealer kwani ni serious!!!!!!
au chitchat ina maana gani
kwangu mie cc itabaki cc tu...siamini kitu hapa...jamani TheDealer kwani ni serious!!!!!!
au chitchat ina maana gani
kwangu mie cc itabaki cc tu...siamini kitu hapa...
Zimefika wifi yake mai waifu wangu Paloma.. Hujambo lakini Heaven on earth..?
Zimefika wifi yake mai waifu wangu Paloma.. Hujambo lakini Heaven on earth..?
huyo TheDealer anabahati sana nimeolewa, ile kasi ya kuwakagua imepungua la sivyo angekuwa anachechemea sasa.... Ngoja niombe vifaa kwa dismynder1 nitarudi baadae
kwangu mie cc itabaki cc tu...siamini kitu hapa...
Shikamoo first lady 2015! naomba msalimie mzee!
sista hivi una habari kwamba Eli79 huko mbioni kufunga pingu na Heaven on earth? una habari hizo lakini?
Naomba utoe barka tafadhali.
sista hivi una habari kwamba Eli79 huko mbioni kufunga pingu na Heaven on earth? una habari hizo lakini?
Naomba utoe barka tafadhali.
kwanini umemwita first lady wa 2015 huku!!!!!
Katavi sidahani,kama wapo basi wachache saanaYaani kuna watu wapo serious na yanayoendelea humu chit chat?
my wii my wii,sijui hata nielezaje jamani
am speachless kwa kweli,naweza kuja myumbani
baadae kidogo after futari tuongee vizuri
umeona eee!! Kivuli cha babe wangu kinawatesa kweli, best hapo uwe makini mana kuna viumbe wapo kwajil ya kuharibu ndoa za watu cc, take care yasije kukuta yalonkuta mie!
yaani na ukija maneno yako yoote yaongee kwa herufi kubwa la sivyo patachimbika