Lady doctor alimtafutia daktari mwenzie shansariekwa uthibitisho wa nani? kiwatengu?
Lady doctor alimtafutia daktari mwenzie shansarie
aupigilie msumari huo moyo uache kudondoka dondoka
Eli79 umetumia kigezo gani kunijudge hivyo!!!!!!Wewe na huyo @lara1 mna tofauti gani! matawi ya juu nyie...
sitaki kuupa moyo wangu majeraha yasiyotibika mie!
Heaven on earth subiri kwanza anipe hela, ndio umkubalie sasa!Eli79 mimi naweza kuwa chaguo sahihi
Heaven on earth wakati mwingine si lazma kumwona mtu laiv ndo ujue yuko level gani kimaisha, angependa kuwa na mtu wa aina gani.. alafu ujue wewe ushamilikiwa tayari , na kwa taarifa nilizozipata.. mambo ya CC yamekuwa moo zan siriaz!Eli79 umetumia kigezo gani kunijudge hivyo!!!!!!
Lady doctor alimtafutia daktari mwenzie shansarie
aupigilie msumari huo moyo uache kudondoka dondoka
Heaven on earth alikuona unapigiliwa misumari moyoni..he he
wewe msikilize Heaven on earth, ni muongo! sasa kama ni msumari mbona hakuwa na msumari wala nyundo! ila kuna kitu nilikuwanacho mm kama msumari vile japo sehemu ya mwili!
Kakwambia nani mm na Heaven on earth tayari tushaweka miundo mbinu? umeshindwa kazi yako nini?basi kama hivyo kam-watch Heaven on earth! naona kama moyo wake umemdondokea vile! fuatilia mjadala wao! sio haba mm mwenyewe kanitoa kidogo ili nisaidie kutengeneza miundo mbinu, sasa sijui kama alichakachua hela za mboga, mm hio hainuhusu!
Kakwambia nani mm na Heaven on earth tayari tushaweka miundo mbinu? umeshindwa kazi yako nini?
basi njoo chukua chenji yako km haupo siriaz! sasa mbona umenipa ela nikusaidie!