figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,681
- 59,180
hivi mkuu hiyo avator yako ni ya kifreemason au kifreelencer? miahahaahaaa....mimi thithemi, hiyo ndo necha yetu bana!
hivi mkuu hiyo avator yako ni ya kifreemason au kifreelencer? miahahaahaaa....mimi thithemi, hiyo ndo necha yetu bana!
hivi mkuu hiyo avator yako ni ya kifreemason au kifreelencer? mia
hivi mkuu hiyo avator yako ni ya kifreemason au kifreelencer? mia
natembea na sindano ya ganzi
na ya sumu,akisumbua sana ya sumu inamuhusu
DIE to survival ataisoma namba!!
Talaka ni suna ujue,
kupewa talaka ni sawa na tunu.
we unapenda kuwakagua sana waume wa wenzio......
kuna yule mhindi pia jina lake lanishinda kitaja mie
mimi nipo ndugu yangu. mwambie wifiyo Heaven on earth nampenda sana. mwambie anitunzie ua langu japo naona vidume vya jf vinammezea mate. majukumu yananiandama lakini nmemuweka moyoni tena sana tu. mmwaaaa...!!!. mfikishie busu langu. mia
hahahaaa...... Hivi ujui kama Eli79 ni freemason? Hapo alipo anamtafuta mtu wa kumtoa kafara......... Kuwa makini na ur Heaven on earth atanyonywa damu
cc: dismynder1 na Heaven on earth
hilo busu linatakiwa liambatane na hela kaka ndiyo nitamfikishia vizuri
my wii Lady doctor nilitaka niseme
atleast we wii wangu umenitangulia...
I hope jioni ya leo hilo busu litakuwa limenifikia
hahaaa! Heaven on earth, kwani shida yako nini? mkwanja upo wa kutosha, mgegedo wa haja..unawasikiliza hao kina Lady doctor na dismynder1...? figganigga amejichokea huko tandale saizi, jua kali...hembu njoo na thupu ya pweza jioni..na nakuhakikishia kesho huendi kazini..teh!
Inamaana hadi saa hizi hujamfikishia tu? mbona m pesa nimetuma kitambo sana?. Heaven on earth huyu wifiyo kanistua.kama vipi tumuachie azifuatilie huduma kwa wateja. mimi ntakupa cash mwenyewe ili uweza pata hug nafsi yako iburdike. miami mwenyewe nalisubiria kwa hamu ili nikurushie hilo busu kwa m-pesa wii wangu.
hahaahaaa....mimi thithemi, hiyo ndo necha yetu bana!
hahahaaa....... Tena namba ya jeneza.....!!!!!!
hahahaaa...... Hivi ujui kama Eli79 ni freemason? Hapo alipo anamtafuta mtu wa kumtoa kafara......... Kuwa makini na ur Heaven on earth atanyonywa damu
cc: dismynder1 na Heaven on earth
hahahaaa......... Yule tunataka tumnyoeupara kwanza sehemu zote then tunaendelea na ukaguzi mwingine maana jana nilimkuta anamsitu wa kutisha
cc: dismynder1
hahahaaaaa!!mi thithemi
staki ugomvi na wageni!!
hahahaaa!!pacha unamtisha mgeni
passion lady yupo hewani nicheki huko!!
hahahaaaaa!!mi thithemi
staki ugomvi na wageni!!
hahahaaa......... Pacha unawaogopa wageni? Wageni wenyewe sikuhizi wanakuja na mikwara hivyo!!!!! teh...teh