Hawa ndio wageni wa CC!

Hawa ndio wageni wa CC!

sa hivi kumbe kakubali...
mwambie nimeshakuja

karibu kwenye ukoo wetu mamii jiskie uko home kabisaaa wewe upike na kupakua tu.

labda nikutambulishe wana ukoo wetu.

baba yetu na mama yetu hawa naomba niwataje kwa heshima yao tukufu ni Mamndenyi na mzee wetu ni chuachakara.

kaka zangu hapa ndo wazee walizaa hadii basi manake kuna tmu mbili za mpira nazo ni SnowBall, Mr Rocky Mwita Maranya, HORSE POWER, EMT, mito, cartura, Bazazi, Mentor, platozoom, Eiyer, Jiwe Linaloishi, Mtambuzi, Dark City. (hawa nimewataja randomly yaani wakubwa kw awadogo)
 
Last edited by a moderator:
Noooooooooo! I guess ill pass! Im keeping my options open

C'mon! i know i can't afford u but at least one night...i'll live to remember the best moments with ya' tafwazali
 
karibu kwenye ukoo wetu mamii jiskie uko home kabisaaa wewe upike na kupakua tu.

labda nikutambulishe wana ukoo wetu.

baba yetu na mama yetu hawa naomba niwataje kwa heshima yao tukufu ni Mamndenyi na mzee wetu ni chuachakara.

kaka zangu hapa ndo wazee walizaa hadii basi manake kuna tmu mbili za mpira nazo ni SnowBall, Mr Rocky Mwita Maranya, HORSE POWER, EMT, mito, cartura, Bazazi, Mentor, platozoom, Eiyer, Jiwe Linaloishi, Mtambuzi, Dark City. (hawa nimewataja randomly yaani wakubwa kw awadogo)

jamani mbona raha iliyoje hii......

nikija hapo nyumbani ndo ntatambulishwa yupi mkubwa yupi mdogo
nashukuru kuwahfaham wooote wana ukoo wa Eli79
 
Last edited by a moderator:
C'mon! i know i can't afford u but at least one night...i'll live to remember the best moments with ya' tafwazali
lara 1 jamani kuwa na moyo wa huruma plz! au wewe sio bindamu! ona dogo lake gfsonwin anavyong'ata meno kwa hasira ya kutaka kukumiliki kwa hii fomesheni 4-1-9-stand!

Ila dogo kausha lara 1 tuachie sisi kaka zako na Mentor, nenda kwa Heaven on earth, tayari kazi ulioniomba nifanye nimemaliza, japo dadako gfsonwin kaweka mizengwe sana nisichukue hela yako! lakini nashukuru kazi imeisha, ila nitumie vocha nipate ya kubipu!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
jamani mbona raha iliyoje hii......

nikija hapo nyumbani ndo ntatambulishwa yupi mkubwa yupi mdogo
nashukuru kuwahfaham wooote wana ukoo wa Eli79

fainali Heaven on earth amenikubalia....bebii nitakupenda kwa moyo wangu wote, kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote.
yours in love Eli79
 
Last edited by a moderator:
jamani mbona raha iliyoje hii......

nikija hapo nyumbani ndo ntatambulishwa yupi mkubwa yupi mdogo
nashukuru kuwahfaham wooote wana ukoo wa Eli79
karibu sna mpenzi wetu, kaka zangu wanajua kuoa tu hawajui kuacha.
na sheria ya nyumba yetu ugomvi gombaneni nyie sisi mtuletee shangwe tuuuuuuu
 
Back
Top Bottom