Hawa ndio wageni wa CC!

Hawa ndio wageni wa CC!

mie nakupenda sana mdogo wangu mpenzi.....................
tea usimskilize kabisa TheDealer asije akakuharibia huyu manake naskia alikuwa mvunja ndoa za watu na yuko wanted.

Cha ajabu yule mgambo alienikamata kiwatengu wakati navunja ndoa ya watu, yeye ndie kanisaidia kupata dawa musharaf! popote shansarie ulipo be blessed, sasa hv watoto wa kitaa wananimezea mate kama kipindi kile hela za saccos!
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth wakati mwingine si lazma kumwona mtu laiv ndo ujue yuko level gani kimaisha, angependa kuwa na mtu wa aina gani.. alafu ujue wewe ushamilikiwa tayari , na kwa taarifa nilizozipata.. mambo ya CC yamekuwa moo zan siriaz!

kitanda usicholalia hujui kunguni wake,ko hata usijudge hivyo

niko single kwa sasa,muulize UNDENIABLE atakueleza
 
basi kama hivyo kam-watch Heaven on earth! naona kama moyo wake umemdondokea vile! fuatilia mjadala wao! sio haba mm mwenyewe kanitoa kidogo ili nisaidie kutengeneza miundo mbinu, sasa sijui kama alichakachua hela za mboga, mm hio hainuhusu!
nimeshakujua mbinu zako na hapa angoja nikuitie shemeji yake Eli79 aje akushikishe adabu.
swtlo Kaizer njoo huku una mtu anataka kukuharibia shemeji zako.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cha ajabu yule mgambo alienikamata kiwatengu wakati navunja ndoa ya watu, yeye ndie kanisaidia kupata dawa musharaf! popote shansarie ulipo be blessed, sasa hv watoto wa kitaa wananimezea mate kama kipindi kile hela za saccos!

halafu naskia umefilizi hela za saccos za jf kwa kuhonga na kupeleka kwa kalumanzira!!
je kuna ukweli wowote ndani yake??
 
Last edited by a moderator:
dada gfsonwin naomba ufatilie nyendo za Heaven on earth...hyuy binti nimevutiwa nae sana sema tu Mentor alikuwa ananikataza. TheDealer anataka rushwa tu huyu.

huyu binti ni binti mzuri sana manake kweli ni pepo iliyoko duniani.
ana umbo zuri la kike, ngozi yake black beauty ana nywele natural nzuri sana urefu wake na kiuno kama cha nyigu. tabia yake na uzuri wake vinashabihiana.

nimjuavyo si mchoyo, wala mbea ana upendo wa dhati na nimkaribu sana mwenye nidhamu kwa watu wote. sijui familia yake ikoje ila kwa uchache tu naweza kumsemea hivi.
 
halafu naskia umefilizi hela za saccos za jf kwa kuhonga na kupeleka kwa kalumanzira!!
je kuna ukweli wowote ndani yake??

Ukweli upo! umewahi kusikia wezi wa kalamu? basi ndivyo nilivyofanya kisa na mkasa moyo wangu ulikuwa unadondoka, nikaona the best short cut ni kalumanzira, hata hivyo sikufanikiwa nilikamatwa na kiwatengu!
 
Last edited by a moderator:
huyu binti ni binti mzuri sana manake kweli ni pepo iliyoko duniani.
ana umbo zuri la kike, ngozi yake black beauty ana nywele natural nzuri sana urefu wake na kiuno kama cha nyigu. tabia yake na uzuri wake vinashabihiana.

nimjuavyo si mchoyo, wala mbea ana upendo wa dhati na nimkaribu sana mwenye nidhamu kwa watu wote. sijui familia yake ikoje ila kwa uchache tu naweza kumsemea hivi.
gfsonwin yaani hakuna hata moja ulilokosea,
hapo eli79 ashindwe mwenyewe
 
huyu binti ni binti mzuri sana manake kweli ni pepo iliyoko duniani.
ana umbo zuri la kike, ngozi yake black beauty ana nywele natural nzuri sana urefu wake na kiuno kama cha nyigu. tabia yake na uzuri wake vinashabihiana.

nimjuavyo si mchoyo, wala mbea ana upendo wa dhati na nimkaribu sana mwenye nidhamu kwa watu wote. sijui familia yake ikoje ila kwa uchache tu naweza kumsemea hivi.

cc Heaven on earth...damn!
 
Last edited by a moderator:
ngoja kwanza nipate ushauri ''nasaha'' UNDENIABLE ameshaniambia nisichezee ''mzigo'' wake, sitaki mambo ya kugandana...

Achana na UNDENIABLE kashindwa kumtunza mke watu wakaenda kuvunja jungu, yeye kabung'aaaa huku cc eti anatafuta nwizi wa mke wake! achana nae, wewe nimalizie hako kamzigo kalikobaki nimalize kazi! sawa Eli79
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom