Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
mama toba roho yangu Eli79
kumbeeeee?!!nikae mbali kuepusha damu yangu
kunyonywa mie khaaa!!
we si ulikuwa unalilia ofa zake wewe.......
leo kasema anataka kukupa hiyo ofa sasa
mama toba roho yangu Eli79
kumbeeeee?!!nikae mbali kuepusha damu yangu
kunyonywa mie khaaa!!
Inamaana hadi saa hizi hujamfikishia tu? mbona m pesa nimetuma kitambo sana?. Heaven on earth huyu wifiyo kanistua.kama vipi tumuachie azifuatilie huduma kwa wateja. mimi ntakupa cash mwenyewe ili uweza pata hug nafsi yako iburdike. mia
basi poa. nakuomba umfuate wifiyo Heaven on earth kila anapoenda. nahofia asije kuibiwa. ntakutumia m pesa nyingine. miaile ilikuwa ya mtumaji bana, nasubiri ya mtumiwaji.....
Naniii???? wana wenyewe hao... katika list ya mabilionea wa JF mi simo bana..
Tafuta saiz yangu