Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

jamani, mbona mimi nimepost thread zangu, na zimepata wachangiaji wengi mpaka nikafurahi? au labda unaandika mpaka page inajaa? jitizame na ww mwenyewe kaka unachoandika, nakushauri badala ya kulalamika ungeomba ushauri lbd kuna mahali unakosea!!
 
kokudo upo? ukurasa wa 29 huu still counting...:A S clock:
 
kokudo upo? ukurasa wa 29 huu still counting...<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S clock.gif" border="0" alt="" title="A S Clock" smilieid="107" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Samora mpaka nitimize post 3000 kwa hii thread
 
Mohammed Shossi tunaweza kwenda wote kwa chetuntu siwezi kwenda peke yangu
 
Mjeshi tena mmhh ngoja nitafakari huu ujio wake, endelea kumwaga cv.
Jana nilionana na mzee chetuntu tuliongea kwa kifupi atakuletea ujumbe nafikiria utakuwa na kikao nae leo nimetangaza nia
 
jamani, mbona mimi nimepost thread zangu, na zimepata wachangiaji wengi mpaka nikafurahi? au labda unaandika mpaka page inajaa? jitizame na ww mwenyewe kaka unachoandika, nakushauri badala ya kulalamika ungeomba ushauri lbd kuna mahali unakosea!!

Umeshapata mchumba hivi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom