Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

Usijali my dear....nimeshakusamehe....karibu tupate kahawa kidogo...........:coffee:
Mamito kwa leo kahawa haipandi kabsaa njo counter ya juu hapa tupige vitu vyetu! Kakudo kantaja leo cjui ana nini na mimi!
 
Ohhh!!! kumbe upo.....
ushauri tu kwako..hapa MMU tunajifunza lakini pia tunajifruahisha kwa kuwasiliana na marafiki ambao hatujawi hata kuonana!....So take it easy my brother/sister!

What are u talkin about?? That's exactly what I'm doing...this is not a parliament session...dooooh
 
Mamito kwa leo kahawa haipandi kabsaa njo counter ya juu hapa tupige vitu vyetu! Kakudo kantaja leo cjui ana nini na mimi!

Mwache Kokudo bwana.... yeye alianzisha sredi halfu kaangia mtini...halfu analalamika watu hawachangii!!! Leo si watu wamefanya harambeee...!!

Nisubiri dear mie naja.....
 
What are u talkin about?? That's exactly what I'm doing...this is not a parliament session...dooooh

Mbona sasa ulikuwa mkali.... ukaanza na kuchafua hali ya hewa hapa jamvini!!! Maneno kama yake hayafai ndugu yangu...!!!
 
kOKUDO thread yako imenifanya nicheke sana banaa l.o.l binafsi sina kinyongo na wewe na thread zako huwa nachangia kama mchango wangu huwa ni mdogo kwenye thread zako nitaongeza juhudi l.o.l
Hapana the finest mchango wako naukubal 100% ndo maana nikakukumbuka.pia nyinyi humu mnajulikana ndo maana nikahoj mko humu muda gani?pole bwana
 
Hapana the finest mchango wako naukubal 100% ndo maana nikakukumbuka.pia nyinyi humu mnajulikana ndo maana nikahoj mko humu muda gani?pole bwana
Kawaida mkuu wala usijali tuko pamoja
 
Hapana the finest mchango wako naukubal 100% ndo maana nikakukumbuka.pia nyinyi humu mnajulikana ndo maana nikahoj mko humu muda gani?pole bwana

Kokudo...ukitaka kujua watu wapo humu ndani kwa muda gani...angalia tu hapo kulia kwenye join date...!
 
Ngoja leo tumjazie page mkuu!! kwani kuna gharama basi kucheza na keyboard??
Aaaa jamani ndo unafanya kupost kwa kunijazia page?punguza hasira kimey
 
Hapana the finest mchango wako naukubal 100% ndo maana nikakukumbuka.pia nyinyi humu mnajulikana ndo maana nikahoj mko humu muda gani?pole bwana
<br />
<br />
Kokudo mie cmjui hata mtu maana cpo tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom