Propaganda za kichina zinachekesha kwenye vijiwe vyenu mumepotoka sana Magufuli hakuna reform ya aina yeyote aayofaanya Zaidi ya kuingiza nchi kwenye lindi l umaskini believe me ukiangalia hata hesabu za Benki kuu kenye tovuti yao inaonyesha Maagufuli ni failure na hatuwezi kumremba wakati anaishi na kupata kila aina ya insntives kwa pesa zetu tutasema kwamba ameshindwa mno big time hizo reform za kimagumashi aachane nazo azingatie wataalamu wanasema nini dawa inamwingia yeye lakini imekuwa sugu anagesikia ushauri ingekuwa dawa nzuriMkuu pole sana, hayo ndio mnayoyaongea mnapokuwa mmekaa kijiweni kwenu!!.
Ni lazima reforms ziwe na maumivu. Huo unaouita kukurupuka ndio dawa ya mentality za kivivu za kitanzania.
Ni suala la muda tu na anachokifanya sasa hivi kitakuwa kimeeleweka. Dawa inapoendelea kuingia kweye damu ndivyo ugonjwa unavyozidi kutoka mwilini.