Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Badala ya kumlaumu dr mwele, tungeungana kudai utafiti wa kina ufanyike. Kama hivyo virusi viko kweli, watakaoathirika ni watoto wetu. Wahenga walisema 'Mficha maradhi kifo kinamuumbua'.
In my opinion, huyo mama alikuwa on the "firing" zone.
Kitu ambacho watanzania wengi huwa atujiulizi ni kwamba agencies nyingine za Umoja wa Mataifa au NGO utafuta mbinu za kufuja fedha za wafadhili kwa kujifanya wanafanya tafiti au kutoa madai kwamba wanahisi Taifa letu limekumbwa na ugonjwa na ZIKA wakiwa na lengo la Publicity stunts tu, sina shaka Serikali ilifatilia mwenendo wa Dk.Mwele na kugundua ukweli ni upi, tusianze kulaumu laumu tu.