Mie napita tu
Uzalendo ni kuacha wananchi wasijue sumu inayotujia ZIKO.. ZIKA[emoji196] [emoji218]Yaaani, eti watu wanamtetea!! Sio mzalendo kabisa huyo mama
Bora Dr. Mweke Kaweka wazi tumeshajua.Kwahiyo lengo lenu mnataka watanzania tufe na ugonjwa wa ZIKA? Wauaji wakubwa nyie
Research results can be nullified by research results too. Kusema uhaini mtu kutoa majibu ya research huu ni upumbavu hali ya juu.DR MWELE NI MUHAINI KABISA.
Kaka umeua haaaah haaaahMmezoea tafiti za Twaweza, kazi kusifia tu,
Haya basi Twaweza wanasema hakuna virus vya ZIKA 100%
Maana ukweli kwenu ni shubiri
Mbona viongozi wako hawajalisema hilo kosa wakati wanamtenguaDR MWELE NI MUHAINI KABISA.
Mkuu unafurahia nchi yako kupewa negative coverage?. That is too low my dear brother.Mmezoea tafiti za Twaweza, kazi kusifia tu,
Haya basi Twaweza wanasema hakuna virus vya ZIKA 100%
Maana ukweli kwenu ni shubiri
Asee ngoja nianze kufikiria mbele...Rais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Utafiti wa REDET na twaweza unapitiaga UNAjabu sana, tena unajikurupua kwenye media kuutangazia ulimwengu jambo zito kama hili?
Kutoa majibu ya utafiti uliofanywa na wataalam waliobobea sasa sijui malengo ya Wizara ni niniSijui lengo lake lilikua nini
Huo utafiti wa Dr. Mwele ni kwa manufaa yetu, siasa na afya visiingiliane kwa kiwango ichoRais anapofanya maamuzi watu mnakurupuka na kumsimanga kwa kila aina ya kejeli na matusi. Watanzania hatuna tabia kufikiria mbeleni inakuwaje. Ipo siku mtamuelewa Mh. Rais anachokifanya kwamba si kwa maslahi yake binafsi bali ni kwa maslahi ya taifa nawatanzania wote.
Minathani swala lilikuwa sio kumfukuza huyu dk swala lilikuwa nikuwabaini hao asilimia 15 iliwachunguzwe kama ivyo virusi ni vyenyewe kweli au la kukataa alafu iwe ni kweli ugonjwa upo ni sawa na kujua we ni muathirika huku unakataa wesio ila mficha magonjwa mauti umuumbua lazma watalamu watakuja kufanya utafiti labda wawazuie hapo tutajua ukweli tu,tushazoea mtu akisema ukweli anaonekana hafai huku wanasahau wakati tulionao dunia imekuwa kama kijiji sio swala la uwongo uwongo na kuleta siasa sehemu ambayo haitaji siasaView attachment 447607
Hii kitu ya ZIKA kuwepo Tanzania naona sasa imevuka mipaka ya nchi kwa kasi sasa.Sasa hapa ndio tunaona kazi ya vyombo vya habari vya nje kwenye mambo kama haya yanapotokea ktk nchi za Afrika.
Baada ya BBC,sasa na CCTV nao wameikomalia issuei hii.Hii sasa inazidi kupata "coverage" huko duniani.Huku NIMRI wanasema yao,huku Waziri na Wizara wanasema yao wakishirikiana na WHO.
Lakini huko "duniani" watu wanazidi kusambaza habari kweli Tanzania si salama tena,maana mdudu wa ZIKA anataradadi.Inahitaji umakini kukabiliana na suala hili.View attachment 447607