Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Sihitaji ndoa zamatatizo za humu ndani sijaachika wala sina mume na wala sitarajii kuwa na mtu yeyote labda wewe nikuoe mie

Khaa..!! unioe mwenyekiti..!! ngoja nimuulize Mama v kama inaruhusiwa then I will come back to you...!! vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Last edited by a moderator:
kwani unafikiri sina uwezo wa kukuoa wewe? ninao uwezo mwambie tena afanye fasta kwani nitakushonea suti bombastic ya vodavoda
Khaa..!! unioe mwenyekiti..!! ngoja nimuulize Mama v kama inaruhusiwa then I will come back to you...!! vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Mkiti mstaafu you are blushing? Duh. Olewa bwana!
Khaa..!! unioe mwenyekiti..!! ngoja nimuulize Mama v kama inaruhusiwa then I will come back to you...!! vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Last edited by a moderator:
Mkiti mstaafu you are blushing? Duh. Olewa bwana!

Nani mstaafu.. !? I'm the life chairperson in East and central Africa. and whoever clashes on my way has an answer on his or her own.. "Zis iz tolu wotaz"
 
Ina maana Arabela ameolewa na nitonye badala ya zubedayo_mchuzi? What went wrong,?

Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa itakuwa mambo ya atm labda ...

Atm wapi mtoto kakutana na miuno ya kihaya.. chezea katerero weye... pata picha ile sura ya nitonye kwenye gemu inakuwa "sirias" kiasi gani..!? mtoto aache kupagawa..!?
 
Last edited by a moderator:
Baba V hii inaitwa ni tungo simulizi;
ina maana haina ukweli ndani yake;[

QUOTE=Baba V;7228519]Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Baba V hii inaitwa ni tungo simulizi;
ina maana haina ukweli ndani yake;[

QUOTE=Baba V;7228519]Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..
[/QUOTE]

Khaa..! ina maana unamkana zubedayo_mchuzi leo!? maskini ataponea wapi yule...!?
 
Last edited by a moderator:
Heeee zubedayo_mchuzi siwezi kumkana;
kanipenda jukwaani ni lazima nitunze mapendo yake kwangu.

Khaa..! ina maana unamkana zubedayo_mchuzi leo!? maskini ataponea wapi yule...!?[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Sipendi kumuudhi aliyenipenda.

Angalau hapo umenena..... angetia huruma sana[/QUOTE]
 
Umeanza maneno yako ya dharau na kashfa;
hiyo huruma ulinipa weye;


Wewe nakufehemu... una HURUMA sana...[/QUOTE]
 
Umeanza maneno yako ya dharau na kashfa;
hiyo huruma ulinipa weye;


Wewe nakufehemu... una HURUMA sana...
[/QUOTE]

Hivi hadi leo kiswahili bado KINAKUCHENGA...!?? kuna kashfa na zereu gani hapo wangu..!?
 
Hukawii kuripoti kuwa umefanyiwa hujuma kumbe
wewe ni mwalimu usiyeelimika; grrrrrrrrrrp!

Hivi hadi leo kiswahili bado KINAKUCHENGA...!?? kuna kashfa na zereu gani hapo wangu..!?[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom