Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Nipo Johannesburg nafanya mipango yakurudisha Ndege ya Fastjet ambayo ilikuwa imeanza safari za Dar-Johannesburg hivyo ni ndege Kubwa nadhani ittosha ila naomba niwaambie kuwa mwisho wandege ni Mwanza nitamuomba Nicas Mtei atuandalie ndege ndogo awambie costal travel,tanzaniar, wasitishe kwa sikuhiyo shughuli zao kwani ndege hizo zimeishakodiwa!Pia tutamuomba Mzeewarula atusaidie logistic hiyo!Pia naomba huu ujumbe umfikie Arusha one nikwamba tunahitaji gari kumi za tours ili kupakia wageni kutoka Pale Bukoba Custom hadi kijijini!Pia mzee wa lidabokibini unaombwa kuhudhuria Asprin mengine mtafahamishwa ila mnaombwa kutokuja na Couples kwani kila kitu kiko huku!na endapo mmekutana huku kwa bahati mbaya potezeaneni!
 
Kongosho nadhani ameshakusikia
Judgment na YNNAH tunapenda kuwaona hio siku
amu ingawa umepotea sana ila kwenye hii usikose

babu Asprin ni nani amekufungia kiasi hiki!!!!!!!
Ruttashobolwa na akanana wake Passion Lady msikose

baba kijacho sosoliso na mama kijacho Paloma ur warmly welcome Paloma kichefu chefu bado kinasumbua
Eli79 najua bado unamfatilia pacha wa my wii Lady doctor sijui harakati zimeishia wapi karibu sana!!!!!!

Ukaribisho bado unaendelea.....
Heaven on earth hivi sikukuambia! pacha wa wii yako anabana sana....
kama vipi nitatia timu peke yangu, naweza pata wa kutka nae huku huko..
 
Last edited by a moderator:
Nipo Johannesburg nafanya mipango yakurudisha Ndege ya Fastjet ambayo ilikuwa imeanza safari za Dar-Johannesburg hivyo ni ndege Kubwa nadhani ittosha ila naomba niwaambie kuwa mwisho wandege ni Mwanza nitamuomba Nicas Mtei atuandalie ndege ndogo awambie costal travel,tanzaniar, wasitishe kwa sikuhiyo shughuli zao kwani ndege hizo zimeishakodiwa!Pia tutamuomba Mzeewarula atusaidie logistic hiyo!Pia naomba huu ujumbe umfikie Arusha one nikwamba tunahitaji gari kumi za tours ili kupakia wageni kutoka Pale Bukoba Custom hadi kijijini!Pia mzee wa lidabokibini unaombwa kuhudhuria Asprin mengine mtafahamishwa ila mnaombwa kutokuja na Couples kwani kila kitu kiko huku!na endapo mmekutana huku kwa bahati mbaya potezeaneni!

KakaKiiza ndoa yenu na Nivea lini?
 
Last edited by a moderator:
nipo nampaka mwali na kumsugua kwa liwa kisha nampeleka kwa kungwi
Kongosho nadhani ameshakusikia
Judgment na YNNAH tunapenda kuwaona hio siku
amu ingawa umepotea sana ila kwenye hii usikose

babu Asprin ni nani amekufungia kiasi hiki!!!!!!!
Ruttashobolwa na akanana wake Passion Lady msikose

baba kijacho sosoliso na mama kijacho Paloma ur warmly welcome Paloma kichefu chefu bado kinasumbua
Eli79 najua bado unamfatilia pacha wa my wii Lady doctor sijui harakati zimeishia wapi karibu sana!!!!!!

Ukaribisho bado unaendelea.....
 
Last edited by a moderator:
Kongosho nadhani ameshakusikia
Judgment na YNNAH tunapenda kuwaona hio siku
amu ingawa umepotea sana ila kwenye hii usikose

babu Asprin ni nani amekufungia kiasi hiki!!!!!!!
Ruttashobolwa na akanana wake Passion Lady msikose

baba kijacho sosoliso na mama kijacho Paloma ur warmly welcome Paloma kichefu chefu bado kinasumbua
Eli79 najua bado unamfatilia pacha wa my wii Lady doctor sijui harakati zimeishia wapi karibu sana!!!!!!

Ukaribisho bado unaendelea.....

wii naona umewekwa kwenye kamati ya ukaribisho, lazima nitie tim atii
 
Last edited by a moderator:
Kama vipi Arushaone haji naomba niwe bodigadi wako...

Arushaone lazima niambatane naye maana huo ndio ubavu wangu, kama umejitolea kuwa bodigagadi wangu basi sawa utakuwa nyuma yangu wakati wa kupeleka zawadi, wa maakuli na wakati wa kudensi,, ila ukipigwa shaba ya kichwa na Arushaone tusilaumiane
 
Last edited by a moderator:
Arushaone lazima niambatane naye maana huo ndio ubavu wangu, kama umejitolea kuwa bodigagadi wangu basi sawa utakuwa nyuma yangu wakati wa kupeleka zawadi, wa maakuli na wakati wa kudensi,, ila ukipigwa shaba ya kichwa na Arushaone tusilaumiane

Nishijeshindwa kutembea tu.... manake sitoweza kuangalia vizuri, nahisi macho yangu yataelekezwa sehem moja tu... Heaven on earth keshakubali kumuacha figganigga ili tuvinjari wote siku hiyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom