Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..

Baba V me penda sana wewe
 
Last edited by a moderator:
Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..

Mwenyekiti kaa mguu sawa....naleta ombi la ndoa karibuni....nitafuata misingi ya kiislamu
 
Back
Top Bottom