Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hukawii kuripoti kuwa umefanyiwa hujuma kumbe
wewe ni mwalimu usiyeelimika; grrrrrrrrrrp!

Hivi hadi leo kiswahili bado KINAKUCHENGA...!?? kuna kashfa na zereu gani hapo wangu..!?
[/QUOTE]

Hahahahaaaaa...!!! mimi na wewe hatudhuriani, mimi na wewe kama masai na lubega...
 
Usijichekeshe tu hapa;
ujue umenikwaza kutoka moyoni;

Hahahahaaaaa...!!! mimi na wewe hatudhuriani, mimi na wewe kama masai na lubega...[/QUOTE]
 
Usijichekeshe tu hapa;
ujue umenikwaza kutoka moyoni;

Hahahahaaaaa...!!! mimi na wewe hatudhuriani, mimi na wewe kama masai na lubega...
[/QUOTE]

Sikukusudi wangu.... Naomba unisamehe bure
 
Atm wapi mtoto kakutana na miuno ya kihaya.. chezea katerero weye... pata picha ile sura ya nitonye kwenye gemu inakuwa "sirias" kiasi gani..!? mtoto aache kupagawa..!?

hapo sawa, lazima apagawe...
 
Hukawii kuripoti kuwa umefanyiwa hujuma kumbe
wewe ni mwalimu usiyeelimika; grrrrrrrrrrp!

Hivi hadi leo kiswahili bado KINAKUCHENGA...!?? kuna kashfa na zereu gani hapo wangu..!?
[/QUOTE]

Sasa ndo umenuna mazima!?
 

Angalau hapo umenena..... angetia huruma sana[/QUOTE]
kweli hukuwa na sifa ya kuwa mwenyekiti.....ndio maana una weweseka mpaka leo kupinduliwa kubaya
 

Wewe nakufehemu... una HURUMA sana...[/QUOTE]

kiswahili cha ota mbawa baada ya kupokomywa uenyekiti wa jukwaaa ha ha ah ah ah aha ha .....
 
Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..

sasa unaipata picha Baba V huu ndio unafki alokuwa akiufanya pindi akiwa M/KITI......
 
Last edited by a moderator:
Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..

sasa unaipata picha Baba V huu ndio unafki alokuwa akiufanya pindi akiwa M/KITI......
 
Last edited by a moderator:
Tatizo zubedayo_mchuzi alikuwa hajui ndoa ni nini.. wenzie wanahudumia wake zao yeye amekaa tu kujisifia mara ohoo nimetembea Kimara hadi kariakoo kwa miguu, mara naweza kupiga ngumi miambili kwa dakika... kuja kumaliza kuongea anakutana na talaka, huku na huku nitonye kaweka ngoma gambani, na jinsi alivyokuwa na ukame wa miaka kule machimboni kwake hakutaka kuremba. Kwa sasa zubedayo_mchuzi tumempeleka "darasani" pale mlipojifunzia wewe, Bishanga Mr Rocky na Vin Diesel .... yu no worram seingi......?? yuko kwa Mamndenyi anapata darsa la mapenzi. That is what went "right"..


Gotcha you!!!
 
Sasa Arabela ule mpango wetu wakuwa na Chocs ndio inakuwaje?

Aiseh! Uharibifu.
image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    2.1 KB · Views: 34
  • image.jpg
    image.jpg
    6.2 KB · Views: 22
Back
Top Bottom