Ndugu wanajamvi kwa mamlaka niliyopewa na niliyojiongezea mimi mwenyewe nachukua fursa hii kutangaza RASMI ndoa kati ya nitonye na bibie Arabela itakayofanyika siku ya keshokutwa jumamosi tarehe 31/08/2013 huko kijijini kwao Kyabakali mkoani Kagera, Wote mnakaribishwa.. Kwa wale mtakaohudhuria harusini wasiliana na Bishanga na kyanaKyoMuhaya kwa ajili ya usafiri wa ndege ya kukodi hadi kijijini, kwa mlioko Mwanza wasilianeni na charminglady kuna boti ya kukodi pale iko standby, wakati huo KakaKiiza anawasiliana na wakala wa fastjet kwa ajili ya usafiri toka Dar, Arusha na Kilimanjaro.
Kwa sababu za kiusalama zubedayo_mchuzi na Mamndenyi hawataruhusiwa kuhudhuria..
Mtakaohitaji kutoa michango tumeni kwangu mwenyekiti kwa M-Pesa, Tigopesa na Ezypesa..
Wakatabahu
Baba V
The Life chairperson.
HVI WEWE KIONGOZI UNAZO KICHWANI AU ULIPELEKWA MILEMBE NDO UMETOKA YAANI MM NA AKILI ZANGU TIMAMU NITOE MCHANGO KWENYE VITIGOPESA, VIMPESA, NA IZEPESA KWA SABABU ZIPI SI BORA NINGEWAPA WALE OMBAMBA NINGEPATA DHAWABU TOKA MUNGU, ANGALIA SANA WEWE NA SITAKI UNIPE NDOA HAPA KWANI ANSIKIKIA NDOA ZAKO UNAZOWABAMBAKIZIA WANAMMU, CC HAPA NI ZA KITAPELI NA NYINGI ZAO WAMEACHANA KWA UGOMVI WA KUTOANA NGEU NA WENGINE HATA WASALIMIANI KAMA MWANZO KISA WEWE KIONGOZI TAPELI, SIJUI NANI ALIKUPA HICHO CHEO NAONA ALIKOSEA KABISA ANGENIPA MM AU Erickb52 KWANI NAONA ANAFAAA AU HATA KAKA Bishanga japo kidogo anafaa kulikko wewe msarambatishaji wa ndoa za watu
HVI WEWE KIONGOZI UNAZO KICHWANI AU ULIPELEKWA MILEMBE NDO UMETOKA YAANI MM NA AKILI ZANGU TIMAMU NITOE MCHANGO KWENYE VITIGOPESA, VIMPESA, NA IZEPESA KWA SABABU ZIPI SI BORA NINGEWAPA WALE OMBAMBA NINGEPATA DHAWABU TOKA MUNGU, ANGALIA SANA WEWE NA SITAKI UNIPE NDOA HAPA KWANI ANSIKIKIA NDOA ZAKO UNAZOWABAMBAKIZIA WANAMMU, CC HAPA NI ZA KITAPELI NA NYINGI ZAO WAMEACHANA KWA UGOMVI WA KUTOANA NGEU NA WENGINE HATA WASALIMIANI KAMA MWANZO KISA WEWE KIONGOZI TAPELI, SIJUI NANI ALIKUPA HICHO CHEO NAONA ALIKOSEA KABISA ANGENIPA MM AU Erickb52 KWANI NAONA ANAFAAA AU HATA KAKA Bishanga japo kidogo anafaa kulikko wewe msarambatishaji wa ndoa za watu
Tatizo hutaki kwenda na wakati... afu mbona povu kiasi hicho!? umeachika ama !?? relax... tafuta mchumba uje niwafungishe ndoa.. I'm always there for you guys..
:wave::wave::wave::wave::wave::wave::wave::wave::wave::wave::wave:Nipo Johannesburg nafanya mipango yakurudisha Ndege ya Fastjet ambayo ilikuwa imeanza safari za Dar-Johannesburg hivyo ni ndege Kubwa nadhani ittosha ila naomba niwaambie kuwa mwisho wandege ni Mwanza nitamuomba Nicas Mtei atuandalie ndege ndogo awambie costal travel,tanzaniar, wasitishe kwa sikuhiyo shughuli zao kwani ndege hizo zimeishakodiwa!Pia tutamuomba Mzeewarula atusaidie logistic hiyo!Pia naomba huu ujumbe umfikie Arusha one nikwamba tunahitaji gari kumi za tours ili kupakia wageni kutoka Pale Bukoba Custom hadi kijijini!Pia mzee wa lidabokibini unaombwa kuhudhuria Asprin mengine mtafahamishwa ila mnaombwa kutokuja na Couples kwani kila kitu kiko huku!na endapo mmekutana huku kwa bahati mbaya potezeaneni!
Kongosho nadhani ameshakusikia
Judgment na YNNAH tunapenda kuwaona hio siku
amu ingawa umepotea sana ila kwenye hii usikose
babu Asprin ni nani amekufungia kiasi hiki!!!!!!!
Ruttashobolwa na akanana wake Passion Lady msikose
baba kijacho sosoliso na mama kijacho Paloma ur warmly welcome Paloma kichefu chefu bado kinasumbua
Eli79 najua bado unamfatilia pacha wa my wii Lady doctor sijui harakati zimeishia wapi karibu sana!!!!!!
Ukaribisho bado unaendelea.....
Wacha weeeeeee
tatizo hutaki kwenda na wakati... Afu mbona povu kiasi hicho!? Umeachika ama !?? Relax... Tafuta mchumba uje niwafungishe ndoa.. I'm always there for you guys..