Pole sana kwa masahibu kama yalikupata, pia hongera sana kwa kupambanamkuu mie sina mengi yakusema ila niseme tu hii dunia ina mateso mengi sana yakila namna,nimejifunza mengi kwakushuhudia
Yes, na nimeisimulia kwa sababu aliniambia nisimulie hadi baada ya miaka 10 akishakufa, kama ningekufa mimi kabla angesimulia Hamida (my wife) au kwa njia nyingine tu watu wangejuzwaOoouh jaman kumbe hawapo tena
mimi sio msimuliaji mzuri na mvivu kuandika,ila niliyaona matatizo aliyopitia mtu wangu wa karibu sana ndani ya familiaPole sana kwa masahibu kama yalikupata, pia hongera sana kwa kupambana
Kikubwa ni kumtegemea Mwenyezi Mungu.
Karibu utoe ushuhuda japo kwa uchache hata kwa ID mpya, karibu sana.
Duuh alikuwa anajua atakufa lini,mwenyezi mungu azipumzushe roho zao mahali pemaYes, na nimeisimulia kwa sababu aliniambia nisimulie hadi baada ya miaka 10 akishakufa, kama ningekufa mimi kabla angesimulia Hamida (my wife) au kwa njia nyingine tu watu wangejuzwa
AminDuuh alikuwa anajua atakufa lini,mwenyezi mungu azipumzushe roho zao mahali pema




Sijakuelewa, fafanua kidogonikadhani ushakuwa mtu wa mwenyezi mungu baada ya kuwa jini kumbe Bado ni ushetani huo huo. ila umeniongezea kitu kuhusu majini
Sent using Jamii Forums mobile app
@MR KUO nimejaribu kurudia post yako lakini bado sijakuelewa sawasawanikadhani ushakuwa mtu wa mwenyezi mungu baada ya kuwa jini kumbe Bado ni ushetani huo huo. ila umeniongezea kitu kuhusu majini
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sashihi,Aisee bonge la story.
Hao majini watuachie dunia yetu daah, wanaonekana wao ndio chanzo cha matatizo.
Kwa mujibu wa story yako ni kua hii mifsrakano ya kidini ni agenda za kishetani coz huenda kila watu wako sahihi kwa upande wao, ila majin wanahangaika kumwambafaisha upande mmoja au mwingine basi tu kuleta mfurugho.
Tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Sahihi, Na hili hujidhihirisha kupitia mwenendo na matendo yao.Shetani siyo lazima awe Jinni, kuna binadamu pia ni mashetani
mkuu majini hula nini??Upo sashihi,
Mifarakano yote ni agenda ya Ibilisi
___
Shetani siyo lazima awe Jinni, kuna binadamu pia ni mashetani
Jinni akiwa muasi ndio huitwa SHETANI, aka MAPEPO.
MAPEPO ni roho
Na roho zipo ROHO CHAFU na ROHO SAFI.
Ibilisi alifarakanisha kule bustanini Eden baina ya Adam na mkewe (hivyo kumchukiza Mungu)
Eva akala tunda
(Siyo tunda la rikiboy and the like...)
Bali alikula tunda kutoka kwenye mti, na kisha akampa Adam naye ale tunda hilo.
Ibilisi alimtumia nyoka, nyoka naye akaomba apate usaidizi kwa ndege Tausi... (Hii ni stori nyingine kabisa katika mapokeo)
Tausi akazubaisha Malaika walinzi, nyoka akapenya Eden.
***
Duniani, Ibilisi akafarakanisha kaka wawili waliokuwa wakimgombania dada yao kila mmoja akitaka amuoe yeye...
Yaani inasikitisha mno. Ila Mungu ni mwema,walikua wamesharudi kumtumikiaOoouh jaman kumbe hawapo tena
Mimi home ni Rukwa,na uhalisia wa maeneo yote aloyataja ni halisi kabisa na ni kweli. Nimejifunza mengi kupitia huu uziAisee kama kawaida yako, simulizi nzuri sana hii. Maeneo yote ni halisi b'se katika "uzururaji" wangu nimefika mpaka Moba... kwahiyo wakati nasoma I was visualizing ha![]()
Mkuu unaufahamu wa mambo mengi mno. Hiyo ya tausi ukipata muda tuletee maana ndio naisikia hapaUpo sashihi,
Mifarakano yote ni agenda ya Ibilisi
___
Shetani siyo lazima awe Jinni, kuna binadamu pia ni mashetani
Jinni akiwa muasi ndio huitwa SHETANI, aka MAPEPO.
MAPEPO ni roho
Na roho zipo ROHO CHAFU na ROHO SAFI.
Ibilisi alifarakanisha kule bustanini Eden baina ya Adam na mkewe (hivyo kumchukiza Mungu)
Eva akala tunda
(Siyo tunda la rikiboy and the like...)
Bali alikula tunda kutoka kwenye mti, na kisha akampa Adam naye ale tunda hilo.
Ibilisi alimtumia nyoka, nyoka naye akaomba apate usaidizi kwa ndege Tausi... (Hii ni stori nyingine kabisa katika mapokeo)
Tausi akazubaisha Malaika walinzi, nyoka akapenya Eden.
***
Duniani, Ibilisi akafarakanisha kaka wawili waliokuwa wakimgombania dada yao kila mmoja akitaka amuoe yeye...