Hatimaye nimempata!

Hatimaye nimempata!

Kwani uongo? Umesahau Zuchu mpaka alitunga wimbo wa kuwananga watu eti MTASUBIRI SANA. Leo yamemshinda amejitoa mwenyewe kwa MONDI. Usichezee mapenzi bwn. Binadamu ni kiumbe mwenye kigeugeu sana. Leo unajitangazia umempata anayekufaa, kesho unarudi hapa unalialia umetendwa !! Hahahahaha .......
Unakitu inabidi usikirizwe😄
 
Sasa yanatuhusu nn sisi mpaka ututa gazie? Una umri gani kwani maana hizi ni za teenagers kuwatangazi watu kuwa sasa umepata mpenzi! Tufanyeje sasa??
Hujishangai ulivyo pekeyako na negativity yako🤒😂😂😂.. Anyways kunywa maji nitakuja kulipa
 
Kwani uongo? Umesahau Zuchu mpaka alitunga wimbo wa kuwananga watu eti MTASUBIRI SANA. Leo yamemshinda amejitoa mwenyewe kwa MONDI. Usichezee mapenzi bwn. Binadamu ni kiumbe mwenye kigeugeu sana. Leo unajitangazia umempata anayekufaa, kesho unarudi hapa unalialia umetendwa !! Hahahahaha .......
Stress tu zinakusumbua mkuu... Halafu me mbona naonaga kazi sana kua against wenzangu wakiwa wanafurahi...
Ila usiwaze utapona maana nilishaipitia hali kama yako na nimepona😂😂😃
 
Hongera sana Lee,
Love issa very beautiful thing..

Enjoy it to the fullest, Mimi huwa nasema ukipata nafasi ya kufurahi, furahi vya kutosha, achana na khofu ya sijui kesho itakuwaje, hell nuh'..! ya kesho yatajisumbukia..!!

kama unapenda hakikisha sahii unapenda na yako yote, spend hizo unforgettable moments vya kutosha ili siku lolote likitokea japo hatuombei usiwe na majuto ya chochote kile..!!
Mtaachana tuuuu
 
Wewe mwenyewe ndio unatengeneza harmonious feelings kwny kichwa chako,

Hakuna mtu awaye yote anaweza kukupa amani na utilivu, ni kitu unakitengeneza mwenyewe.

Kuingia kwny mahusiano ili kutafuta furaha na utulivu ni makosa.

Unatakiwa kuwa na furaha, amani na utulivu kwanza ndio uingie kwenye mahusiano. Hivi vitu havipatikani kwny mahusiano, vinapatikana kwny moyo na akili ya mtu.
Nimekuelewa mkuu 🙏
 
Back
Top Bottom