Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Kutumika sana lazimaAaaaah sio kwer aseee zimelegea izo.cjui zinatumika sana😄😄
Kutumika sana lazimaAaaaah sio kwer aseee zimelegea izo.cjui zinatumika sana😄😄
Kesho wanaanza kumlaumu nani sasa Kati wamejiharibu waoKutumika sana lazima
Dooh haya mambo ni mvurugano n hayana formula.Unaweza usipendwe na mtu akakusitiri na akakuvumia, unaweza ukapendwa na asikusitiri na asikuvumilie
Hamna wa kumlaumu hapoKesho wanaanza kumlaumu nani sasa Kati wamejiharibu wao
Sio Siri ukapera siuwezi 🤣🤣🤣japo wanasema husumbuliwi lakini kama umezoea kuishi na mtu iko pale pale respectHamna wa kumlaumu hapo
Fanya maamuzi sasaSio Siri ukapera siuwezi 🤣🤣🤣
Uyo wakumfanyia maamzi ni naniFanya maamuzi sasa
🤣🤣MsukuleMuhimu ni kutafuta msukule wako mnaoendana mlisongeshe life
Wewe mwenyewe ndio unatengeneza harmonious feelings kwny kichwa chako,Really! How do you feel the happiness in upweke mkuu?
Et msukule watu mko na mmbo umu jf🤣🤣Msukule
Kitu chochote kinachoendeshwa kwa hisia ni ngumu sana kuwa defined
Hapo chacha😂Uyo wakumfanyia maamzi ni nani
Au nianze nawwe ili ukaweke bango letu shekilangoHapo chacha😂
😂😂Eeh mkikutana msukule miwili mambo yataenda, Ila mmoja akiwa mjuaji aah lazima kilio.🤣🤣Msukule
Kitu chochote kinachoendeshwa kwa hisia ni ngumu sana kuwa defined
Hahaa me nishawahiwa kitamboAu nianze nawwe ili ukaweke bango letu shikilango
Pole sana.Oukay,,, But for me better niwe kwenye mahusiano najiona nakua na utulivu wa mwili na akili, nikiwa alone napata shida sana
Umeona sasa hizi ndizo hbr nakutana nazo daylee sijajua wengine wanasemaje🤣🤣Hahaa me nishawahiwa kitambo
Sasa yanatuhusu nn sisi mpaka ututa gazie? Una umri gani kwani maana hizi ni za teenagers kuwatangazi watu kuwa sasa umepata mpenzi! Tufanyeje sasa??Good morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitulakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tuanayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love
Muwe na Jumapili iliyo njema.
HongeraGood morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️
Muwe na Jumapili iliyo njema.
Kwani uongo? Umesahau Zuchu mpaka alitunga wimbo wa kuwananga watu eti MTASUBIRI SANA. Leo yamemshinda amejitoa mwenyewe kwa MONDI. Usichezee mapenzi bwn. Binadamu ni kiumbe mwenye kigeugeu sana. Leo unajitangazia umempata anayekufaa, kesho unarudi hapa unalialia umetendwa !! Hahahahaha .......Ngoja waje wale wa Mtaachana tu.