Hatimaye nimempata!

Hatimaye nimempata!

Unaweza usipendwe na mtu akakusitiri na akakuvumia, unaweza ukapendwa na asikusitiri na asikuvumilie
Dooh haya mambo ni mvurugano n hayana formula.

Muhimu ni kutafuta msukule wako mnaoendana mlisongeshe life
 
Good move
At least watakuacha waliokuwa wanakutaka kila kukicha, na nyie kwa huruma kila mmoja unataka umridhishe kwa maneno matamu ingawa huwapi 😄
Sasa umewapatia wazo 😄 wakuache sasa

Sijui nawaza nini
 
Really! How do you feel the happiness in upweke mkuu?
Wewe mwenyewe ndio unatengeneza harmonious feelings kwny kichwa chako,

Hakuna mtu awaye yote anaweza kukupa amani na utilivu, ni kitu unakitengeneza mwenyewe.

Kuingia kwny mahusiano ili kutafuta furaha na utulivu ni makosa.

Unatakiwa kuwa na furaha, amani na utulivu kwanza ndio uingie kwenye mahusiano. Hivi vitu havipatikani kwny mahusiano, vinapatikana kwny moyo na akili ya mtu.
 
Good morning ma lovers,

Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.

Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.

Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi

But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!

I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).

Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love

Muwe na Jumapili iliyo njema.
Sasa yanatuhusu nn sisi mpaka ututa gazie? Una umri gani kwani maana hizi ni za teenagers kuwatangazi watu kuwa sasa umepata mpenzi! Tufanyeje sasa??
 
Good morning ma lovers,

Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.

Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.

Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌

But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!

I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).

Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️

Muwe na Jumapili iliyo njema.
Hongera

Ni kijana wa jf?
 
Ngoja waje wale wa Mtaachana tu.
Kwani uongo? Umesahau Zuchu mpaka alitunga wimbo wa kuwananga watu eti MTASUBIRI SANA. Leo yamemshinda amejitoa mwenyewe kwa MONDI. Usichezee mapenzi bwn. Binadamu ni kiumbe mwenye kigeugeu sana. Leo unajitangazia umempata anayekufaa, kesho unarudi hapa unalialia umetendwa !! Hahahahaha .......
 
Back
Top Bottom