Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,293
- 283,239
Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai
Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!
Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno
Asante Mungu
Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!
Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno
Asante Mungu