Hatimaye nimempata!

Hatimaye nimempata!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mtasubiri saaaanaaa..!!!
Vuteni viti mkae!! Vipi swahiba upo??
Nipo nipo . Nipo gado kabisaa
Lini sasa utamuandikia uzi dada angu wa kimasai??
Aaaahhh wee mi kurogwa nilishakataa.
Ukiona siku nimefanya hicho kitu, naomba mnikamate mnifunge kamba niwahishwe kwa mganga , lazima nitakuwa nimechanganyikiwa.
Naomba nisiulizwe,sawa? Yan mnikamate kwa nguvu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jirani wa humu mbona nitakufa mapema,, anaweza akarudia kukutongoza mara mbili mbili kwa I'd tofauti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Uongo yupo humu, mpk umelileta hapa basi mlengwa tunaye na ujumbe wake kauona..!!
Sisi umbea tumesomea usitudanganye..!!
Wewe mtaje siku akizingua tukusaidie kumkausha damu
 
Back
Top Bottom