Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

kaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
MTAMU: Kwenda jela ni udhalili, na ndio maana kule huwakuti watu safi ila wenye tuhuma mbaya ambayo haikubaliki katika jamii. Halafu unasema wangeendelea kumshikilia wakaona ivi hizo siku mbili alizonyea debe wewe kama wewe ulifanya nini? siulikuwa kwa mumeo unaendelea na majukum yako? acha kuwaingiza mkenge wenzio.
Haya Mandela nae alidhalilishwa tena kwa miaka na sio siku....look at him now!!Kuna alichopungukiwa zaidi ya kuheshimiwa ulimwenguni kote???!

Wanaodhalilika ni wale wanaodhani kumweka Mbowe jela ni kumkomoa...mwisho wa siku yeye ndo anaepewa mikono mtaani wakati mzee mzima J wa K anakuna kichwa kama hana akili nzuri.
 
Wamegwaya people's power. Ni upuuzi mtupu. Polisi wanaacha matapeli na wauza unga lunkunku wanandani kina Mbowe kwa mambo ya kisiasa!!
 
[QUOTE=Nicha;2063657]Huna akili[/QUO
Post ya kwanza hii Mkuu. The first impression lasts
 
Aisee CCM kweli wameshtuka Arusha hii wasingempa dhamana watu wangelala barabarani kutoka mahakamani hadi Gereza la kisongo!!!Hapa sio DSM wala Pwani muzee unatoa kitu tunaweka kitu.Wanaumeeeeeeeeeeeeee
 
muhurumieni kiongozi wenu amelazwa sakafuni, amenyea ndoo na amesafirishwa usiku wa manane usingizi hakulala wakati wewe unakoroma ! Amekuwa ifected kisaikolojia vibaya sana , na hana heshima tena mbele ya watu wenye akili timamu

**** sana vipi kuhusu nelson mandela. ?
 
Muhurumieni kiongozi wenu amelazwa sakafuni, amenyea ndoo na amesafirishwa usiku wa manane usingizi hakulala wakati wewe unakoroma ! amekuwa ifected kisaikolojia vibaya sana , na hana heshima tena mbele ya watu wenye akili timamu

hayo ni mawazo yako na ni mtizamo wako finyu
 
umetumwa na ccm, akili yako ni sawa na kuku. Kodi zetu zimetumika vibaya kwa sababu ya ujinga wa mahawala zako ccm. Kwa fikra hizo utakuwa mjinga daima, akili yako haitapanuka na itaendelea kusinyaa. Hakimu alipata maelekezo ambayo yametughalimu sote. Kamlilie hakimu wa kimagamba.
Kila kitu mtakisukumia CCM. CCM wana matatizo yao mengi tu kwa sasa. Hawana muda wa kufuatilia dhamana ya Mbowe. Halafu, viongozi wetu wa CHADEMA wakiendelea kushindia mahakamani kila uchao watakuwa kama Mchungaji Mtikila.
 
hawalioni hili!

Mkuu TT

hakwenda haja siku hizi mbili mkuu?

swali je alikuwa na wafungwa wengine au peke yake??

Hivi wab.. what are u tryin to prove?

ok tunakubali mbowe alifanya kosa kutokutokea mahakamani, je hakua/hakutoa sababu ya msingi? Taratibu zinasemaje kuhusu kukamatwa kwa mh mb wakati akiwa occupied na kazi za bunge?

Hivi chenge alifanyaje na wakamwachia akiendelea kupiga kampeni kwa raha zake?
Mahakama zisiendeshwe kwa utashi wa kisiasa nasi tukashangilia tu, sijui mbowe alitaka kuonyesha nini kwa uma wa watanzania but msg sent, na hawa mahakimu wetu wanahitaji shule zaidi kwenye kudeal na vitu kama hivi.. wanaaangalia hongo tu hata kujiendeleza wanasahau.. labda tungepata maelezo ya hakimu tungejua wameongea nini leo. mahakama za tanzania zimekua chombo cha kudidimiza haki na kutetea wenye mamlaka tu iwe dola au fedha.


This are things that can have catastrophic outcomes for this nation.. trust me lolote lingeweza kutokea arusha kama mbowe asingeachiwa leo na polisi wa arusha wakae chonjo kwani watu sasa wameanza kubuni njia za kukabiliana nao..
 
yaani kuna wakati tuwe tunaangalia na gharama jamani............... maelezo ya mstari mmoja miwili kwenye file ndiyo yamegharimiwa kiasi hiki?............ kweli tuna safari ndefu sana................. any way, ilikuwa free promo for chadema

hahaa serikali bana...sa ndo wamefanya nini yaani wamempa bonge la promo
 
Hii hapa kwangu mimi naona ni pumba, hatutakiwa kufikiria kwa upeo mdogo kiasi hiki.

Kakamatwa kwa kukaidi amri ya mahakama, kapelekwa mbele ya pilato, wenzake wamekuja kumuombea dhamana kwa kufuata taratibu zote za kisheria tena kwa adabu zote, kwa kuwa mahakama ni chombo cha haki imewasikiliza.

Huyu hapa chini nafikiri alipokuwa shule hakuwa amepoteza mda hongera.

Kwa nchi inayoishi ki-umatonya, kweli was it worth it kuiingia gharama zote hizo? ulinzi, usafiri wa ndege mpaka Arusha. And dont tell me serikali 'inasimamia' sheria maana for the last 6 years Kikwete amekuwa anafanya mazungumzo na wezi wa EPA! Huo ndio uvunjwaji wa sheria maana wezi wanatakiwa wawe keko.

Linganisha hizo quotes mbili, wenye akili wanajua ni nani yupo vizuri kwenye upper chamber
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kawaida yetu sisi wananchi wa Arusha hatuogopi kitu Leo mahakamani tumejaa Kama sisimizi,wamebana wameachia mpaka kieleweke Ile ile 120 kwenye kona
 
Hapa unamaanisha hakuna mfungwa hata mmoja magerezani, au unatakaje yaani? Kwa kuwa kuna wezi, ufisadi na blah blah basi na Mbowe na aachiwe avunje sheria? Mimi nilidhani kwenye system kama hii ambayo wewe unataka kuibadili ni bora uiprove otherwise na kuifuata sheria ili hata unaotaka kuwashawishi kuwa kufuata sheria inawezekana wakayaona hayo kwa vitendo.

Magereza yamefura wezi wa kuku na pick-pocket. Majambazi yanadunda huku mtaani! so check your facts before you bring your nonsense here.
And to refresh your mind, mara baada ya Kikwete kuingia madarakani 2005, kuna watu walipelekwa Kisutu kwa madai kuwa wao ni 'majambazi' sugu, unamkumbuka Massawe? Now, unaweza kueleza haya mazingaombwe yaliishia wapi? Yuko wapi Massawe na wenzake? Ni kweli walikuwa majambazi sugu? Au walitajwa kimakosa? Au je hawa watu ni wasafi? na kama ni wasafi kesi zao zilisikilizwa lini na wapi? kama sio, kwa nini wapelekwe Kisutu?

Mjepu, you can fool a lot of people sometime, but you can not fool all the people all the time. Huu umang'aa wa ccm-magogoni (niwe specific ni ccm ipi maana kuna ccm nyingi siku hizi) umechuja. Tumechoka na usanii. We want serious leaders wanaojuwa kuwa wao ni leaders na sio walalamikaji. period.
 
serikali goigoi huwa siku zote huwa unafanya maamuzi goigoi kama haya
 
Kakamatwa kwa kukaidi amri ya mahakama, kapelekwa mbele ya pilato, wenzake wamekuja kumuombea dhamana kwa kufuata taratibu zote za kisheria tena kwa adabu zote, kwa kuwa mahakama ni chombo cha haki imewasikiliza.

Acha ushabiki mbuzi kama mahakama ingekuwa na suala la msingi ingemweka ndani miezi mitatu kwa contempt of court. we unasema wamefyata mkia mahakama si chombo cha huruma! hii inaonyesha na kujenga dhana ambayo wana chadema wanaona ni usanii. Msishabikie ujinga, shabikieni kurekebisha mfumo wa sheria zinazotoa haki. Nakwambia hali kama hii kwa sheria hizi za kijinga na matakwa ya watu kama bahati mbaya atakuja tokea Raisi mwendawazimu tumekwisha. Sheria zilizopo ni kandamizi si kwako sababu we ni ccm na unaona sawa tu lkn ndugu yangu ipo siku hutapumua.......kumbuka chiruba alivoingia sheria zilezile zilizokuwa zinatumika kumnyanyasa na alizokuwa anazipigia kelele ndizo alizikumbatia na kuja kuanza kuzitumia tena baadaye. Nnchi inabadilika miaka kumi ijayo kizazi cha ccm kinapotea, tutakuja lia na kusaga meno kwani tunaruhusu sheria za kikoloni ziendelee kutamalaki.

Mboe hajaachia kwa matakwa ya mahakama imetumiaka busara tu maana mauaji yangetokea, hatuwezi kubali damu imwagike kwa sababu ya ujinga ujinga tu eti kundi dogo linalofaidika na mfumo tawala kandamizi kuendelea kukandamiza watu. Maisha magumu, madini yetu yanaibwa hafu nashangaa watu humu jf wanashabikia...mi sishabikii cdm ila nashabikia utanzania wangu ambao wenzetu wanakubali kuchukua rushwa kuauza madini yetu utadhani wao watahama nchi. Jifunzeni naona kigogo mwingine Misri kafunwa miaka 30 itafika tu hapa tutakuja kudai mali zetu na nyi mafisadi na mnaoendelea kufaidi ufisadi endeleeni lkn mtambue mbowe hana njaa ya kumfanya alale mahabusu ama wabunge wengi wa cdm hawana njaa aknia ndesamburo hawana njaa ni njaa za watanzania ndo wanakubali kunyanyaswa na kudhalilishwa. Mungu atawalipia siku moja. Natoa wito kwa polisi, jeshi, wasomi nchi hii watambue ni yao, wasikubali kutumika, najua wapo wazalendo wengi bila kujali itikadi ambao siku ikifika tutawambia kina rtz1 waturudishie mali zetu. Na JK ajiulize mbona watotom wa Kawawa hawalalmikiwi? wa Nyerere hawalalamikiwi? Wa Mkapa kadhalika wa mwinyi vilevile hawalalamikiwi kwa nini kina miradji na Ritz1 tu? Kuna kitu na namuonea huruma kwani hawezi pata nafasi ya siasa ameshajichafua...watoto wa kawawa si wajinga, wakuwa waadilifu sana hata wakishindanishwa kwenye nafasi mbalimbali watu wanaamua kuawachagua. Madaraka ya wazazi yana mwisho wake mtambue hilo!
 
Back
Top Bottom