Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
nimegundua chadema wa jf wote pumbafu kabisa.
nchi haitakalika peoples power huku wanajfungia majumbani kwao.
wanaancha maskini wakaandamane na kupigwa bakora kama wanafunzi.
wamemuacha mwenyekiti anakunya kwenye ndoo siku mbili.
kasafirishwa kama kibaka kwenda arusha. eti arusha haitakalika.
sasa hapa mmepata nini. bora angeheshimu dhamana ya mahakama.
kuna watu hapa bora waingie choo cha kike tu ni waoga hao
Na wewe tope mahesabu yako ya ulichokipata