ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
Mkuu unauhakika nipo kilwa,kwa taarifa tu nipo arushaa,na tulikuwa na mpango kama mbowe asingeachiwa tungechoma mahakama moto na hakimu angekiona cha moto! Magama siku zenu zinahesabika mkuu!nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!
muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!
guess what??