Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Nafikiri sasa mbowe na Chadema wamepata somo kuwa MSIDHARAU SHERI ZA NCHI na vile vile MSIDHARAU AMRI ZA MAHAKAMA.

Lengo si kudharau sheria za nchi lengo lilikuwa kumdhalilisha Mbowe na Chadema kwa ghara yo yote. Kwa bahati mbaya haikutegemewa kuwa wanachadema wangekuwa na msimamo usioyumba. Kwa hiyo tetea ujinga wa serikali yako kwa sababu imepita point of no repair
 
Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Hivi wewe unafikiri wanaonyea debe ni akina Mbowe tu? Unapotoa judgement ya namna hii lazima uhakikishe Mungu ni baba yako na kwamba you're very clean in all aspect of your life na kwamba hutakaa uingie pale. Kuna watu ambao hawakuwahi tegemea kuingia pale lakini waliingia mkuu. Rumande kunafana na hospitali ambapo hakukwepeki maadam unaishi miongoni mwa binadamu wenzako. Kuna kubambikiwa kesi , kuna wenzako kukuponza n.k. kwa hiyo usishangilie mwenzako anapoumia pls kuwa na ubinadamu.

Ulichokinena ni sahihi kabisa. Kiongozi kaonesha dharau kwa Mahakama, kitu ambacho ni kibaya sana. wala asingefanya hivi asinge doz 2dayz kule. Kafanya uzembe, hapo hajabambikiziwa na mtu ila kajichimbia kaburi mwenyewe. Ni kweli kuwa rumande mtu yeyote ataingia lakini sisi kama jamii tutaangalia umeingiaje? kama ni uzembe wako mwenyewe lazima usemwe
 
TUNAOMBA PICHA PLEASEEE WANAHARAKATI MTUJUZE...from..UDOM...huku nko full shangweeeeeee wameingia kitaa wakiimba mapambio maarufu ya ya chama na kukisifu chama...
baadhi ya nyimbo hizo ni...
??Freedom is coming 2morow??

???? Peeeeeepleeeeesssssssssssss
Powwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr?????????
 
Ila debe kanyea.Sidhani kama siku nyingine atadharau mahakama. Ajue mahakama siyo chama cha siasa,ni muhimili wa dola. kwa mwandishi mwenye picha zake wakati amekamatwa nahisi alikuwa kama Kiza beseje alivokuwa siku ile M7 amfanyie kitu mbaya

Nadhani unauzoefu wa kunyea mifuko ya rambo ndiyo maana unashabikia kunyea debe.
 
Itakuwa mara ya kwanza kwa historia ya Tanzania mwenyekiti wa chama kulindwa na field force unit/ffu au form four failures unit pamoja na raia wakakamavu/pc/police,kusafirishwa kwa gharama kubwa na kumfikisha salama kama mfalme pale Arusha. Govt.mnawapa usupastaa wa bure hawa wapinzani bila kujua. Mpaka sasa watu hawamjui pinda,jk wala bilali,wao kila siku ni mara drSlaa katoa tamko,Zitto awasulubu viongozi,sakaya akamatwa,makamu bavicha yuko oysterbay,Lissu anena,Marando amtaka jk mahakamani,mkapa kizimbani,bajeti ya cdm,yani pole pole ccm inafutika ktk ramani ya Tanzania. ifikapo 2014,ccm itakuwa makumbusho ya Taifa!
 
Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Hivi wewe unafikiri wanaonyea debe ni akina Mbowe tu? Unapotoa judgement ya namna hii lazima uhakikishe Mungu ni baba yako na kwamba you're very clean in all aspect of your life na kwamba hutakaa uingie pale. Kuna watu ambao hawakuwahi tegemea kuingia pale lakini waliingia mkuu. Rumande kunafana na hospitali ambapo hakukwepeki maadam unaishi miongoni mwa binadamu wenzako. Kuna kubambikiwa kesi , kuna wenzako kukuponza n.k. kwa hiyo usishangilie mwenzako anapoumia pls kuwa na ubinadamu.

Mwambie na mkumbushe aangalie historia ya mtu aitwae Edgar Tekere ( waziri wa serikali huru ya kwanza ya Zimbabwe) aliyeua mzungu mara baada ya uhuru na alipopelekwa mahakamani alijitetea kutumia sheria waliotunga wazungu wachache kujilinda na wakasahau kuifuta mara baada ya uhuru.

Mahakama ikasema Tekere ana kinga 100% na kumuua huyo mzungu haikuwa kosa na kuishia kumuachilia.

Badala ya kuchekelea na kusema kanyea ndoo tuangalie sheria hii ina mapungufu gani na inaweza kumdhuru nani, lini, wapi na kwa vipi. Tuende mbele na kuangalia jinsi gani tunaweza kuibadili iendane na haki za binaadamu.

Wahenga walisema hujafa hujaumbika, kumbuka polisi na gerezeni mtu yoyote anaweza kuingia na kamwe usifurahie mwenzio akienda mpe pole , hata kama ni adui yako. Ni sehemu mbaya sana kwa binadamu kuwekwa hata kwa nusu saa
 
nimegundua chadema wa jf wote pumbafu kabisa.

nchi haitakalika peoples power huku wanajfungia majumbani kwao.
wanaancha maskini wakaandamane na kupigwa bakora kama wanafunzi.

wamemuacha mwenyekiti anakunya kwenye ndoo siku mbili.

kasafirishwa kama kibaka kwenda arusha. eti arusha haitakalika.

sasa hapa mmepata nini. bora angeheshimu dhamana ya mahakama.

kuna watu hapa bora waingie choo cha kike tu ni waoga hao

Tuankutazama tu...jifurahishe na keyboard
 
Wakuu samahanini, nakumbuka kuna amri ya kumkamata Mr Chenge ilitolewa na Sundi Fimbo, hivi ilikuwaje tena, coz alijisalimisha au kuna kipengele kilikuwa kimekosewa ? Kwa wenye kumbukumbu naombeni rekodi...
 
Da hii ndo tz zaidi ya uijuavyo garama za kumpeleka huko nan kasimamia
 
Serikali ya magamba imechezwa na machale ikaona ikiendelea kumshikilia kamanda mpiganaji inchi itaweza kugeuka kuwa kama Misri.
 
mbona hukuenda kuandamana ili ukafe. kazi bwabwaja jf tu acha danganya watu hapa

wewe na ccm yenu imekula kwenu,kila mkijaribu kubana,mnachemka na kuachia wenyewe kiulaini,mtaishia kukejeli na kutukana jamvini!
 
Kakamatwa kwa kukaidi amri ya mahakama, kapelekwa mbele ya pilato, wenzake wamekuja kumuombea dhamana kwa kufuata taratibu zote za kisheria tena kwa adabu zote, kwa kuwa mahakama ni chombo cha haki imewasikiliza.

hahaha!

inakuuma!

pole bana.
 
CCM bana watachanganyikiwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!hawajui wanaipaisha cdm bila kujua.:A S 100:
 
Mahabusu za Tz kipindi fulani zilikuwa na papasi vipi papasi walishawatoa?
 
Wananiudhi viongozi wetu "wapendwa" wanapovunja sheria wanazozifahamu vizuri kuliko sisi halafu wanasubiri huruma ya watu. Muda umepotea. Kodi zetu zimetumika vibaya. Tumeacha kufanya mambo ya maana. Wala hakuna tija katika hili.

Hapo kwenye puple vipi?
 
Back
Top Bottom