Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..............................CHADEMAA...............................................
 
Kwa nchi inayoishi ki-umatonya, kweli was it worth it kuiingia gharama zote hizo? ulinzi, usafiri wa ndege mpaka Arusha. And dont tell serikali 'inasimamia' sheria maana for the last 6 years Kikwete amekuwa anafanya mazungumzo na wezi wa EPA! Huo ndio uvunjwaji wa sheria maana wezi wanatakiwa wawe keko.

Gharama ya amani ni kubwa sana, tume sakrifaisi ili kuiweka jamii salama, Huyu ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa letu watumie tu hata ndege ya rais ikibidi.
 
I think hakutegemea haya yote!

kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.

At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!
Kibaraka wa CCM umesuuzika sana na matukio haya. Mahakimu hao hao waharakishe na kesi za maelfu ya waTanzania wanaooza gerezani kwa kesi zao kutosikilizwa kwa miaka mingi na sio kushupalia kesi ambayo kimsingi ni ya kubambikiza kuhalalisha mauaji nyie CCm mliyofanya Arusha
 
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!

muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!

guess what??

Kijeba cha roho
 
yaani kuna wakati tuwe tunaangalia na gharama jamani............... maelezo ya mstari mmoja miwili kwenye file ndiyo yamegharimiwa kiasi hiki?............ kweli tuna safari ndefu sana................. any way, ilikuwa free promo for chadema
 
Wanatekeleza maadhimio ya CHADEMA maana jana alitoa tamko! Asipoachiwa watu waingie barabarani kuandamana, M kwere kanywea kaona hapa hapatatosha.
Mheshimiwa Mbowe kafanye check up ya afya yako baba, magamba yawezekana wamekupa sumu ya kukudhuru.
 
I think hakutegemea haya yote!

kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.

At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!

Acha kuropoka...taratibu za mahakama hazikufuatwa na kama Tanzania kuna Mahakama mbona mafisadi wanaishika makalio nchi na mahakama zinakenua...........
 
Gharama ya amani ni kubwa sana, tume sakrifaisi ili kuiweka jamii salama, Huyu ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa letu watumie tu hata ndege ya rais ikibidi.
Be careful with what you are wishing!!
you will be banged big time!!
 
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juua ..arusha
piga hesabu za gharama iliyotumika tangia (let say) jumamosi mpaka leo saa 4.00. Anza na wale askari waliopewa overtime, elkopta ya jeshi, na mambo mengine mengi tu kwa ajili ya kutekeleza agizo la kisiasa la kumkamata mbunge wa Hai na Kiongozi mkuu wa upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe! (utadhani ni jambazi sugu, gaidi, fisadi mla rushwa au mhalifu mkuu).
Hapo ndipo unapata jibu la ni kwa nini serikari yetu inatumia sh. 2,000,000,000/- kuzalisha umeme (sehemu fulani na kukusanya) bills za Tsh. 20,000,000/- kwa mwezi!
 
Wananiudhi viongozi wetu "wapendwa" wanapovunja sheria wanazozifahamu vizuri kuliko sisi halafu wanasubiri huruma ya watu. Muda umepotea. Kodi zetu zimetumika vibaya. Tumeacha kufanya mambo ya maana. Wala hakuna tija katika hili.
 
Nguvu ya uma na uwezo wa mungu vilivyomo ndani ya mioyo ya viongozi wa chadema na wafuasi wao vimejidhihilisha leo
 
Mahakimu wa Tanzania wanapokuwa wakali wanataka wapelekewe kitu kidogo basi.
 
Kakamatwa kwa kukaidi amri ya mahakama, kapelekwa mbele ya pilato, wenzake wamekuja kumuombea dhamana kwa kufuata taratibu zote za kisheria tena kwa adabu zote, kwa kuwa mahakama ni chombo cha haki imewasikiliza.
Jipe moyo na endelea kujifariji na maneno yako yasiyo na kichwa wala miguu. Hakuna aliyeomba hapa, hakimu ameogopa nguvu ya umma, ameona watu walivyojaa hapa mahakamani ikabd asalimu amri. Asingemwachia aone nguvu ya umma ingefanya nini. Chadema oyeeeee!!
 
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!

muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!

guess what??

before posting your comments you need to think twice! Remember tz is a developing country with the world sustainability ranked it 152 out of 169 countries of the world. Why all this nonsense costs? I guess you are empty in the head.
 
Back
Top Bottom