Kutokana na udhalilishaji wa vyombo vya dola na viile vya sheria dhidi ya haki za watanzania maandamano ya kukosa imani na sekali nchi nzima yaendelee. Hatuna na imani na serkali isiyojali watu wake. Mauaji ya wananchi mikononi mwa jeshi la polisi, rushwa polisi na mahakamani na kutowapa watu haki zao za msingi. PIPOZZZZZ
Niliwahi kusoma post zako nikafikiri una busara, lakini nimegundua una chuki na Mbowe.Ona sasa unavyojichora mkuu, katika wale waliokufa Arusha mbona wewe haukuwa mmoja wao??
I likeviolence mkuu lakini sio zinazosababishwa kijinga kama hii ya mbowe!!!
Ukiisha ikubali serikali na rais basi huna budi kuheshimu dola!!!
makahama ipo, dhuluma ipo, kila siku ndugu na jamaa innocent wanafungwa kwenye hizo mahakama,kwanini hauchomi moto? au unachoma kipindi Mbowe akiwa mahamamani???
ukichoma mahakama,kesho Mbowe akiwa rais utatumia mahakama ipi? utajenga upya?dont you see that mahakama has no side hazipo kwenye CCM (magamba) wala haziko kwenye CDM (nungunungu)!! or do you have different opinion?
At least nimejua uwezo wako mkuu asante kwa kunijuvya!!! LOL!
Viongozi wa CHADEMA kwa uelewa wao wa sheria na nafasi yao katika Nchi na jamii hawapaswi ku-behave hivi. Wanatukatisha tamaa.
Serekali na liziziemu wametukosesha fursa ya kuangusha serikali, kwa nini wamemwachia mbowe kirahisi hivyo?
Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu poleni na starehe za week end.
Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.
Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.
Nijuavyo maelezo yalitolewa kuwa alikuwa anatekeleza majukumu yake ya kibunge, na mahakama ilipewa taarifa. Mbowe anatofauti na hao wengine kwa kuwa yeye ni kiongozi wa hao hivyo kimajukumu yeye anabanwa.Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu poleni na starehe za week end.
Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.
Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.
nge
Kwa watu msiojua sheria:
kisheria maana ya dhamana ni* kwamba mtu asije kupotea* wakati kesi inaendelea, ndio maana unapomdhamini mtu anayefahamika na mwenye shughuli zake inakuwa rahisi kwa maana kwamba*** mtu huyo hatarajiwi kutoroka. Hivi Mbowe anaweza kutoroka kesi ya kipuuzi kama ya arusha? Lakini jambo jingine ni utaratibu mtu anapokuwa hakutokea mahakamani, imekuwa bahati mbaya sana mahakimu wetu kwa makusudi au kutokujua wamekuwa wakifanya kosa hili mara nyingi sana. Mtu sipofika wanatoa hati ya kumkamata. Kimsingi mtu asipofika anapaswa kupewa notisi ya kumuita na kumuuliza kwa nini hakufika, kama mahakama itaridhika na maelezo yake, anaonywa kuhuduria siku ingine na mambo yanakwisha.* Hii ya kumkamata mtu inatokea kwa mtu aliyeruka dhamana, yaani mtu katoweka na* ndio hoja ya kumkamata inapoibuka, anatafutwa akipatikana akamatwe,. na hili la wadhamini ndio upuuzi kabisa. Mdhami hana jukumu* la kwenda mahakamani, wajibu wa mdhamini ni kuhakikisha mtuhumiwa hatoroki, na kama ametoroka ndio unamatafuta mdhamini ili atekeleze masharti ya mkataba wa udhamini. Sasa unaagiza mdhamini wa mbowe akamatwe kama vile Mbowe hajulikani alipo! Usanii na senema kwa kwenda mbele.-
Jeshi la polisi limeisha yapiga marufuku nchi nzima, nenda kaandamane sasa uone cha mtema kuni !
Labda pia tungefahamu mazingira yaliyopelekea yeye kutofika mahakamani kabla ya kujadili upande mmoja.
kumbuka Mbowe hakukamatwa bali alijisalimisha mwenyewe.
Nijuavyo maelezo yalitolewa kuwa alikuwa anatekeleza majukumu yake ya kibunge, na mahakama ilipewa taarifa. Mbowe anatofauti na hao wengine kwa kuwa yeye ni kiongozi wa hao hivyo kimajukumu yeye anabanwa.
Naomba ukafanye utafiti halafu uje uandike kaka.Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu poleni na starehe za week end.
Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.
Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.
Gharama ya amani ni kubwa sana, tume sakrifaisi ili kuiweka jamii salama, Huyu ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa letu watumie tu hata ndege ya rais ikibidi.
Awe makini sana na aina ya usafiri huu, maana wabaya wake ni rahisi sana kummaliza kwa style yankumtumbukiza kwenye mtaro. Au yaka mtokea yaliyompata mpambanaji wetu Pasco.
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!
muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!
guess what??
Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu poleni na starehe za week end.
Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.
Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.