Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Sheria nadhani zipo wazi na zinaeleweka na linapotokea jambo la kusababisha maafa wahusika lazima wawajibike! nadhani hata mheshimiwa sana Mbowe alitakiwa atumie busara.
Wapi hakutumia busara?polisi kaenda mwenyewe, mbona hao polisi hawakumfuata mtaani?
haya maigizo ya JK na CCM yake yataisha siku moja.
Politics kila mahali, ahadi hawatekelezi, umeme tu umemshinda, mgao kila kona kila siku!
Kuna maeneo ya Kigoma ambayo hayapo accessible kwa road, meli inapita mara moja kwa mwezi, kuna kituo kimoja cha afya, wamam wajawazito na watoto kufa ni kama kawaida huko..........na bado JK anafanya siasa na mawaziri wake. This is a big joke.

Hivhata hotuba za mwisho wa mwezi zimemshinda? hana cha kutuambia, hana anachokifanya, hakuna jipya.

Atatuambia nini kuhusu umeme? kwamba ameonana na CEO w Symbian power ambao wamenunua Dwans? kama CEO wa Symbian anakuja state house, unatuambia CEO wa Richmond na Dowans hawakuja statehouse? huyo wa Symbian ana tofauti gani hasa? INAUMA SANA!! USANII HUU UNAUMA SANA!!
 
duh! Baati yao,leo arusha pasingekalika!!!!!
 
PICHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA?

Watu wa arusha mmekuwaje leo? hakuna picha kabisa? hii siyo kawaida yenu bana mnatunyanyasa
 
I think hakutegemea haya yote!

kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.

At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!
 
vipi upo sehemu ya tukiyo nauyo akimu wanaye sema pulesha imepanda kunaukweli?
 
Kwa nchi inayoishi ki-umatonya, kweli was it worth it kuiingia gharama zote hizo? ulinzi, usafiri wa ndege mpaka Arusha. And dont tell me serikali 'inasimamia' sheria maana for the last 6 years Kikwete amekuwa anafanya mazungumzo na wezi wa EPA! Huo ndio uvunjwaji wa sheria maana wezi wanatakiwa wawe keko.
 
Wametekeleza amri ya cdm mara nini?maana mara na arusha huwa wanafanya kweli.Lakini tabia hii ya ccm kukandamiza wananchi tutaimalizaje?
 
Kakamatwa kwa kukaidi amri ya mahakama, kapelekwa mbele ya pilato, wenzake wamekuja kumuombea dhamana kwa kufuata taratibu zote za kisheria tena kwa adabu zote, kwa kuwa mahakama ni chombo cha haki imewasikiliza.
 
duh! Baati yao,leo arusha pasingekalika!!!!!

nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!

muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!

guess what??
 
Sijapenda ndoto niliyoota leo. Eti nimeota ndoto kwamba Polisi wakiwa wanamsafirisha Mbowe njiani walimpiga sumu ya Kumuua taratibu in some few years to come bila yeye kujijua. Kama kuna roho kama hii ishindwe
 
Ingekuwa kama kuwashika nyuki walio kwenye mzinga kwa mikono halafu unakaa pembeni kusubiria hasira zao. Zezeta spika Makinda yuko kimya hana la kuongea wakati wabunge wananyanyaswa. Anasubiri mafisadi waliomuweka madarakani wamwabie cha kusema
 
i think hakutegemea haya yote!

Kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! Wana misimamo mikali sana.

At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!

huyu hakima ni msukuma anaitwa magesa, yeye hata cj chande anaweza amrisha akamatwe
 
Wamemwogopa tu police na ccm kama mbwa koko wa sokoni
 
Back
Top Bottom