Mbunge Matayo David Phd, mkurugenzi wa Ramani investment alikuwa anazivizia hizo Retention Licence ili apewe bure au azinunue kwa bei ya kutupwa then aite watu wale wale kuja kuziwekeza.Mbona pale kesi ni rahisi nyie kushindwa.
Kwanini mliwatoa RL wakati mngewaachia ilikuwa inaisha mwaka huu kama walikuwa hawajaanza uzalishaji?
Tuanze na KIKWETE KumnyongaHivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali ikishindwa hata mahakama za hapa kwetu.
Mtu anaelipwa chini ya 5M akasimamie kesi ya billions unategemea nini?
Suluhisho la haya mambo ni tushughulike huku kwetu hasa tunapoingia mikataba na tenda mtu akiingi mkataba mbovu ni anyongwe tu awe mfano maana hizo pesa zinazopotea zingeweza okoa maisha ya Watanzania wengi.
Na Watanzania tufunguke mtu kaingia mkataba mbovu 2013 /2014 unakuja unavunjwa 2017 analaumiwa alievunja alie ingia katulia anaejoy life, tuko serious kweli?
Kule hawaiti watu tu bali serikali inapeleka mashahidi waliohusika na swala husikaProfesa Idris Kikula Kwanini hakuitwa Mahakama ya ICSID ???
Shida ni aliye ingia mikataba kwa Manufaa yakeMbona pale kesi ni rahisi nyie kushindwa.
Kwanini mliwatoa RL wakati mngewaachia ilikuwa inaisha mwaka huu kama walikuwa hawajaanza uzalishaji?
Kwa sababu tunampa mtu yeyote uongozi bila kujali elimu, uwezo, uaminifu, uwezo na uzoefu.Kuna mambo yanatia hasira sana
Tuanze na Mbarawa ama ushu..ngi?Hivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali ikishindwa hata mahakama za hapa kwetu.
Mtu anaelipwa chini ya 5M akasimamie kesi ya billions unategemea nini?
Suluhisho la haya mambo ni tushughulike huku kwetu hasa tunapoingia mikataba na tenda mtu akiingi mkataba mbovu ni anyongwe tu awe mfano maana hizo pesa zinazopotea zingeweza okoa maisha ya Watanzania wengi.
Na Watanzania tufunguke mtu kaingia mkataba mbovu 2013 /2014 unakuja unavunjwa 2017 analaumiwa alievunja alie ingia katulia anaejoy life, tuko serious kweli?
Wale wa siku ya ijumaa wote ni issue popote walipo.Tuanze na Mbarawa ama ushu..ngi?
Kweli kabisa😂😂Kawaida ukiwa nje ya box unaona vitu simple sana
Anayetakiwa kunyongwa ni kiongozi mkuu sababu yanatokea akiwa wapiHivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali ikishindwa hata mahakama za hapa kwetu.
Mtu anaelipwa chini ya 5M akasimamie kesi ya billions unategemea nini?
Suluhisho la haya mambo ni tushughulike huku kwetu hasa tunapoingia mikataba na tenda mtu akiingi mkataba mbovu ni anyongwe tu awe mfano maana hizo pesa zinazopotea zingeweza okoa maisha ya Watanzania wengi.
Na Watanzania tufunguke mtu kaingia mkataba mbovu 2013 /2014 unakuja unavunjwa 2017 analaumiwa alievunja alie ingia katulia anaejoy life, tuko serious kweli?
Lissu aliwahi kushinda kesi gani kwenye uga wa kimataifa, kelele zake ni kwa wapuuzi wa hapa ndani
USSR
Akikujibu naomba niite ndugu!!Wewe hujui alipomsimamia Jacob Zuma?.
Hivi Mruma na Osoro mliwapa mpaka vyeti vya uzalendo kivipi Sasa wakishindwa kesi mnawaita wamehongwa?Hivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Sababu Wana uwezo mdogo sana, hivi kwa English Ile ya Prof. Osoro na Mruma unaweza tetea hoja zako kweli? Tuna uwezo mdogo ila ujuaji mwingi. Hivi Kuna haja ya kumhonga mtu asiyejua lolote?Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali ikishindwa hata mahakama za hapa kwetu.
Sio kweli, Hawa wanakula miposho mirefu sana unakuta kesi ipo mwezi wa 10 ila wanapenda mwezi mzima kabla na wanakaw hoteli za nyota Tano. Hivi CCM na ufisadi wote huu wakipata kasafari kadogo unadhani wataambulia million 5?? Lazima waongeze gharama Ili kujustify ufisadi.Mtu anaelipwa chini ya 5M akasimamie kesi ya billions unategemea nini?
Mbona hao kina Osoro na Mruma wamekiri walipitisha hivyo vibali alafu hao hao wakaja futa leseni. Ukishafanya makosa lazima uwe smart kutafuta loophole uwabane wawekezaji. Mfano unaweza waundia zengwe kuwa wanachafua mazingira au ukategeshea kesi ya kikodi basi ukakifunga kiwanda na kufuta leseni. Sasa sisi tunaenda kichwa kichwa kufuta leseni bila kufanya analysis ya madhara yake kisheria.Na Watanzania tufunguke mtu kaingia mkataba mbovu 2013 /2014 unakuja unavunjwa 2017 analaumiwa alievunja alie ingia katulia anaejoy life, tuko serious kweli?
Nimependa sana hata hapo kwa elimu.tuna rais hata asiyejua kuwa yeye ni raisKwa sababu tunampa mtu yeyote uongozi bila kujali elimu, uwezo, uaminifu, uwezo na uzoefu.
Akiwa bibi mpe !!!! Tutaenda naye akiuza Tanapa tunapiga kimyaaa akkmaliza kipindi chake ametulia kwake tunaanzisha sasa keleleeeee .
Kwa ujumla hata shetani ana unafuu kuliko sisi.
Mtu hata dini yake haimruhusu kuongoza sisi tunasema tunaenda naye , tunaenda naye wapi? Atatufikisha wapi?
Ulikuwa ujinga wa ajabu, kwanza hakukuwa na uzalishaji, pili leseni ilikuwa inaisha ndani ya three years ambayo ulikuwa muda mfupi sana ukilinganisha na hela inayolipwa. Kesi walishindwa toka wakiwa Bagamoyo Mruma ameniaibisha sana... kila kitu cha kufanya washinde kesi walikitia kapuni. Huku bi tozo kabakiza kuwarembulia tu. Inatia hasira. Kule mkuju napo Rostam anaandaa bomu jingine ngoja warusi wakae sawa tutanyooka tu.Mbona pale kesi ni rahisi nyie kushindwa.
Kwanini mliwatoa RL wakati mngewaachia ilikuwa inaisha mwaka huu kama walikuwa hawajaanza uzalishaji?