Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,991
Acha izo loh..Tuma salamu kwa watu watatu.
Acha izo loh..Tuma salamu kwa watu watatu.
Siyo angekuwa amekwisha? Kuchukuliwa nguvu zake?Ni tendo la kukubaliana na anachosema mhusika! Ndio maana hata watu wakipatana hupeana mikono
Kwa muktadha wa tukio husika Harmo angekubali kutoa mkono angetangaza vita rasmi Mondi
Inawezekana pia kwenye hili ndio maana wengi hukataa kupeana mikonoSiyo angekuwa amekwisha? Kuchukuliwa nguvu zake?
Kuna siku niliwahi msikia mtu anasema yule amebebwa kiganja vyake vipo upande huu..
Jamaa akamalizia usipende kushake hands with ur enemies..
Ongezea ujuzi kwenye hili bro
Huyu jamaa sio siri anaonekana Kichwani yupo vizuri sana. Hoja zake zinaeleweka sana na zipo ktk mtiririko unaokuongoza kwenye jibu, pia uwezo wake wa kufikiri na kuchanganua mambo ni mkubwa. Pia anaonekana ni Muungwana sana sababu sikuwahi kuona Comments za Mihemko au hasira au kumu attack mtu humu.Mkuu mshana kwanza heshima yako broh, hata kabla sijawa member rasmi humu jf huwa nafatilia sana kila post na coment zako zote huwa zinanijenga sana... Uzidi kuishi maisha marefu aicee
Lakini sasa ukute jamaa kama huyu huenda ana maisha duni tu. Tuseme tu kuwa Mungu hakupi vyoteHuyu jamaa sio siri anaonekana Kichwani yupo vizuri sana. Hoja zake zinaeleweka sana na zipo ktk mtiririko unaokuongoza kwenye jibu, pia uwezo wake wa kufikiri na kuchanganua mambo ni mkubwa. Pia anaonekana ni Muungwana sana sababu sikuwahi kuona Comments za Mihemko au hasira au kumu attack mtu humu.
Lakini sasa ukute jamaa kama huyu huenda ana maisha duni tu. Tuseme tu kuwa Mungu hakupi vyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekuoma mfuasi wa wizi wa nyota za watuAache kuchukua nyota za kina Wizkid, Snoop, Wizz Khalifa, Alicia Keys, Swizz ,then aje kuchukua nyota za mkata mkaa kutoka dunia ya tatu,vumbi tupu.
Wizkid na Davido miaka ya juzi walivyokuja kupiga show, wote wakaenda Madale na baada ya hapo Davido kachia hit songs tatu If,Fall and blow my mind na Wizkid sasa hivi anatamba na Essence, sasa sijui Davido na Wizkid still wapo juu au labda nao wachawi?.
Halafu kesho hawa hawa una wasikia "Diamond anaringa.........mbinafsi.........hapendi ushirikiano ",sasa mtashirikiana vip wakati mikono hapeani mara akishirikiana utasikia "ukimshirikisha hung'ai.......",huyo anasema hivyo kisha mshirikisha nyimbo zaidi ya tatu na mikono walipeana kila siku, sasa sijui na yy hang'ai.
Hahaha!!! Aice asante kwa fursa hii za kwanza ziende kwako, pili kwa mshana Jr na tatu kwako tena maana umeonekana umekubaliana namimi kiainaTuma salamu kwa watu watatu.
Si tunaibaga wote, ila mimi siwezi kukuibia nyota yako sababu ww mwenyewe hali yako pangu pakavu.Nimekuoma mfuasi wa wizi wa nyota za watu
Yanapaswa kupewa heshima zote!Maoni ya waja, it's the world we're living in.
Kuna vitu vitatu tofautiUkiaamini tu ushirikina basi maisha yako yote utaishi kwa hofu na kila jambo utatafsiri ushirikina.
Vyote vinatoa hofuKuna vitu vitatu tofauti
Kuamini ushirikisha
Kuishi ushirikina
Kuhofia ushirikina
Okay ...sawa..!Vyote vinatoa hofu
Katika haya yote kwangu mimi unapotea..Kuna vitu vitatu tofauti
Kuamini ushirikisha
Kuishi ushirikina
Kuhofia ushirikina