Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,861
Mtampa lini Diamond Platnumz heshima yake kwa kile alichokifanya kuwainua Harmonize na Rayvanny wakati wao wameshindwa kabisa kuwainua wengine kwenye lebo zao.
WCB ndio lebo pekee iliyofanikiwa kupelekea wasanii International na kujulikana... Leo hii ukimzungumzia Zuchu, ni msanii international. Ukimzungumzia Mbosso Khan na wengineo ni wanasumbua vichwa vya mjini. Dogo D-Voice katoka juzi tu lakini sasa hivi ana hit songs za kutosha.
Nyie mashabiki wa konde gang for everybody msingemjua Konde Boy bila Chibu Dii Chibu Dee Simba (Wee Zombie Haujui). Harmonize anatutumua kifua lakini Godfather wake ni Chibu. Same applied to Rayvanny V-vanny boy Chui, leo hii kafanikiwa kuchukua tuzo ya BET kwa sababu alipewa platform na chibu Dii Chibu Dee.
Ni wazi kabisa PLATNUMZ inabidi apewe maua yake kwa kufanya soko la mziki kuchangamka na kuwa kibiashara. Diamond Platnumz akifa leo uenda yakatokea kama ya Kanumba na Bongo Movie. Tutakuwa kama wakenya na mziki wao, tunaimba wee ila hatutoboi. Mziki wa East Africa umeshikwa na WCB.
WCB ndio lebo pekee iliyofanikiwa kupelekea wasanii International na kujulikana... Leo hii ukimzungumzia Zuchu, ni msanii international. Ukimzungumzia Mbosso Khan na wengineo ni wanasumbua vichwa vya mjini. Dogo D-Voice katoka juzi tu lakini sasa hivi ana hit songs za kutosha.
Nyie mashabiki wa konde gang for everybody msingemjua Konde Boy bila Chibu Dii Chibu Dee Simba (Wee Zombie Haujui). Harmonize anatutumua kifua lakini Godfather wake ni Chibu. Same applied to Rayvanny V-vanny boy Chui, leo hii kafanikiwa kuchukua tuzo ya BET kwa sababu alipewa platform na chibu Dii Chibu Dee.
Ni wazi kabisa PLATNUMZ inabidi apewe maua yake kwa kufanya soko la mziki kuchangamka na kuwa kibiashara. Diamond Platnumz akifa leo uenda yakatokea kama ya Kanumba na Bongo Movie. Tutakuwa kama wakenya na mziki wao, tunaimba wee ila hatutoboi. Mziki wa East Africa umeshikwa na WCB.