Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
CCM wamejipanga kuzifiungia huduma za TIGO PESA na MPESA sasa hivi...
wamechelewa.leo nimechangia mara ya pili.
CCM wamejipanga kuzifiungia huduma za TIGO PESA na MPESA sasa hivi...
Du wanachi maskini wa tanzania wanachanga kidogo walichonacho then zitumike kwa ajili ya chopa lol
afadhali itumike kwenye chopa inayozunguka kuelimisha kuliko wanavyo fanya ccm kujaza matumbo utafikili wajawazito
Maneno mazito sana hayahahaha watanzania bana CCM imewakuwa ikiwachangisha watu miaka nenda rudi hata kama return yake ni almost zero katika utendaji. Leo chama kingine bilakuomba radhi au kibali kimeamua kuwapa nafasi wanachama na mashabiki wake kukiunga mkono imekuwa nongwa. Hii sasa ni sehemu ya siasa za kawaida tusiogope au kukwazika. CCM ikija na kuomba kuchangiwa wanaoiunga mkono wanayo haki ya kufanya hivyo tena kwa furaha. Waacheni CDM wajichangishie and I hope this is one of the many other fundraising in the future.
Jambo kubwa ni:
a. Lazima kutangaza kinachopatikana
b. Kiasi kinachopatikana NI LAZIMA kigawanywe kati ya taifa na local branch.
Mkapa katoa maagizo eti baada ya uchaguzi wa arumeru matokeo yatangazwe kuwa CCM wameshinda tu na baadae CHADEMA waende mahakamani.
Dr. Slaa anasema CCM ndo watakaoenda mahakamani this time
uliza kikwete kachanga kiasi gani...Mbowe kachangia sh ngapi?
kaka najua leo utaota ndoto chafu sana, au hutalala kabisa, sisi wenzio tunaota M4C, em sema kimoyomoyo M4CAtakuwa wa CDM tu huyo lazima...
Wao ndio wenye tabia ya kuomba omba!
Kwa nini Harambee hii inafanyikia Kaskazini tena Usiku?????
Mkuu watu kama Rejeo,Ritz,Waberoya,Mohamedi shossi,Kimbunga and com'leo hawatapata usingizi kwa chuki waliyonayo
dhidi ya CDM...yaani kama ninawaona walivyokasilika huko waliko. Poleni sana! Mnamuona Mbowe huyo? Mnaona
hayo manoti ya michango hapo mezani? Kubali mkatae Chadema ni namba nyingine!
Mkapa katoa maagizo eti baada ya uchaguzi wa arumeru matokeo yatangazwe kuwa CCM wameshinda tu na baadae CHADEMA waende mahakamani.
Dr. Slaa anasema CCM ndo watakaoenda mahakamani this time