Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

uliza kikwete kachanga kiasi gani...
Kama mkitaka atawachangia tu..
Kama kaweza kuwakaribisha breakfast, lunch na juice atashindwa kuwachangia? This time hamtaki tena juice?
 
Movement 4 change (m4c) its start from arusha na itaendelea tanzania nzima.

Chadema imezindua mpango wa kueneza mabadiliko tanzania

unaoitwa movement for change (m4c) tanzania,utakaoletwa

mabadiliko ya kweli tanzania ili kufanikisha hayo

mtanzaniamwenzangu tuwaunge mkono kwa kuchangia

chochote

ulichonacho,hii itapelekea chama kuwa mikononi mwa

wananchi wenyewe lengo la mpango huu ni :

-kueneza chama sehemu mbalimbali za tanzania vijijini na

mijijini
-kutoa elimu ya uraia kwa watanzania.

-pamoja na mengine mengine mengi
 
kitu wanafanya chandema leo imekua hoja yangu kwa muda ila nitafurahi kama watenda step moja mbele, kupigania ruzuku kwa vyama ifutwe, vyama vinatakiwa vijiendeshe kwa michango ya wanachama na wananchi wanaoviunga mkono.

Kwamba chama cha siasa kinatakiwa kijinadi kwa wananchi kama kweli kina mvuto basi wananchi wavichangia na kama havina mvuto basi havina haja ya kuwepo.

Na hii ndio iakua kipimo tosha kwa vyama kujua vinapendwa kiasi gani, na hii itamsaidia hata mwenyekiti wa CCM kujua chama kimechokwa kwa kiwango gani
 
Ndesa Pesa anakwambia pesa kwake ipo sana sio ya kifisadi wala ya wizi. nipesa ya uhakika iko ndani na nje. kwa leo ametoa 20m.
 
Mkapa ni janga la Taifa, JK asipoangalia atajikuta anasimama ICC kwa ajili ya Mkapa.
Ijulikane kuwa Mkapa anahaha ili kujinusuru kulipia ufisadi aliotufanyia. Mkapa apende asipende mzimu wa ufisadi wake utamfuata tu, hata kama atakuwa amekufa atakutana nao kwa Mungu.

Naaamini kutakuwa na kautaratibu cha kutandika viboko marehemu wenye murder case kama hizi.
 
Unamlinganisha waberoya na rejao?nafikiri waberoya ana misimamo yake binafsi isiyofanana na misimamo njaa ya rejao
Chamuhimu ni kuwa on top tu! CCM juuuu...
Mkitaka niwachangie hela ya kununulia leso za kufutia machozi baada ya kushindwa Arumeru nitafanya hivyo!
 
Nafikiri isiwe kuchangisha tuu ila pia na matumizi ya fedha zitakazochangishwa yawa open kwa waliozichanga na uhuru wa wachangaji kuhoji matumizi mabaya ya fedha zao udumishwe! VIVA CHADEMA VIVA PEOPLES POWER!
 
Alhaji Jafari kakabidhi Million moja kwa niaba ya tawi fulani kutoka Moshi.
Nasubiri propaganda za magamba
 
mzee kanivunja mbavu. NDESAPESA IKO MINGI SI ZA KIFISADI teh teh. Peopleeeesss........
 
Kama mkitaka atawachangia tu..
Kama kaweza kuwakaribisha breakfast, lunch na juice atashindwa kuwachangia? This time hamtaki tena juice?

hili swala la kupinga ruzuku kwa vitendo limekua mwiba wa sumu kwenye mboni za wana-CCM.
 
Ndesa-pesa, Mb wa Moshi (M) ametoa 20 milion. anatamba kuwa anazo pesa mingi nje na ndani ya nchi na sio za kifisadi!

Peoples' Power!
 
Chamuhimu ni kuwa on top tu! CCM juuuu...
Mkitaka niwachangie hela ya kununulia leso za kufutia machozi baada ya kushindwa Arumeru nitafanya hivyo!
hongera una likes nyingi lakini sio za kuongea points, ni za pumba, ol the best
 
.............and this is the reason I like CHADEMA. It is also because of CHADEMA I like this country TANZANIA very much. I have contributed not because it is CHADEMA but I have done that FOR ME, MY DAUGHTER AND SON AND FOR THE PEOPLE OF TANZANIA. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Kama anaweza kuchangia bilioni moja wanapitisha bakuli la nini wakati kwenye kampeni zao gharama huwa hazizidi mi.6

Issue si kupitisha bakuli bali kuhakikisha waTZ wanashiriki katika harakati za ukombozi wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom